Hii ndiyo USA, wanasurvive kwa nguvu tu, vinginevyo hamna kitu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Kama inavyoonekana kwenye picha hiyo ni Meli ya kwanza ktk USA ikishusha Gesi asilia (natural gas) Ulaya, ikumbukwe kwamba USA alilobby Umoja wa Ulaya ambao kwa miaka yote walikuwa wakitegemea gesi ktk Urusi kuiwekea Urusi vikwazo kwa Kiuchumi kwa kisingizio cha ugomvi wa Ukraine na Urusi!

Kumbe nyuma ya pazia Marekani alikuwa anataka apewe yeye nafasi aliyokuwa nayo Urusi ya kuuza natural gas Ulaya, sasa yametimia Marekani wameingiza Meli ya LNG Bara Ulaya iliyojaa natural gas na kuanza kuuza kama export huku Urusi akiwa amewekewa vikwazo vya kiuchumi!

Hii yote inazidi kuthibitisha kwamba nchi hiyo inaweza tu kusurvive kwa kutumia nguvu na ushawishi wake lkn siyo ushindani per se kwani ukiwapa ushindani aidha watakupiga mabomu au watakuwekea sanctions, tuliona Zimbabwe aliwekewa sanctions kwa sababu Marekani na wenzake walikuwa wanataka Almasi kubwa iliyoko Zimbabwe ambao Mugabe aliitaifisha hivyo wakafanya kampeni na ku label ,,bloody diamonds" yaani almasi yote inayotoka Zimbabwe isiuzwe Duniani, lkn Coltan ya ktk Kongo ambao ndiyo wanaitumia kutengeneza smart phones zote wamekataa kuiita bloody coltan!

Kama kila kitu kikiwa fair Wazungu wa Marekani hawawezi kucompete Dunia hii, wanaweza tu kwa kutumia mabavu na ndiyo maana Bajeti ya Jeshi la Marekani ni kubwa klk zote Duniani kwa kiasi kikubwa sana!, walimuua Gadafi kwa lengo hilo hilo kuondoa ushindani


PORTUGAL-USA-ENERGY-ENVIROMENT_1462299126300433.jpg
 
French naye kashtuka, merakan walikuwa na mpango wa kupeleka mbegu zao na vinasaba sijajua huu mzozo utaisha vipi, south Africa nao walikomaa lkn Siku ya Siku wakaruhusu bidha kutoka USA ziingie tu
 
mleta mada naon umekulupuk kutok usingizin tena inaonekan ulikuw umekunyw pomb ya mnazi,iyo meri ya kubeba gesi ina uwezo wa kubeb 11,000 cubic meter pekee wakati gesi inayopokelew na nchi za europe kutok urusi kw mwak 2015 ilikuw 130 bilion cubic meter.kw iyo ili uweze kusupply gesi size hii kw njia ya meri ni lazim kila siku upelek meri zaid ya 35,000 je inawezekan ? ndo maan pamoj na vikwazo ivyo vyote bado urusi anawauzia nchi za europe gesi na hata ukisem sinunui gesi ya urusi je utaipata wapi nyingine.USA awezi akajenga bomba la gesi kutok kwake hadi europe na pia uchimbaji wa gesi ya USA ni bei ghari san ndo maan wawekezaji inakuw ngumu kuwekez maan wanajua watapat hasara tu
 
gesi ni kitu muhimu san ktk bara la europe,wew uwezi ukaona umuhim wa gesi kw sababu upo kweny bara leny joto kali tofauti na wenzetu wapo kweny barid kali mpak barafu zinanguk ujue si mchezo mpak viwanda vinatumia gesi
 
ndo maana marekani anaitwa super power au polisi wa dunia. ukileta ujinga utakila sanctions tu hamna namna. kama kutumia nguvu tu mbona nchi nyingine hazitumii nguvu ili ziwe kama marekani? huwezi kutumia nguvu wakati nguvu huna.
 
na swala la sactions wengi tu tulijua kuw vikwazo kw urusi witawarudia wenyew tu,na kweli tumeon vikwazo vinawaumiz EU.juzi tu ufaransa wameamua kuondoa vikwazo maan vinawaumiz wakulima wa ufaransa na pia nchi nying za EU zimeamua kuendelea kufany biashara na urusi maan wao ndo wanaumia kuliko marekani
 
ni ngumu san kumuwekea vikwazo mtu ambaye akutegemei kw maitaji yake.urusi aitegemei marekani au EU kw maitaji yake,ila EUinaitegemea urusi kw maitaji yake
 
ndo maan ukiangalia vikwazo vikubw vilivyowekw na marekani ni kuzuiya viongoz wa urusi kuingia marekani
 
ni ngumu san kumuwekea vikwazo mtu ambaye akutegemei kw maitaji yake.urusi aitegemei marekani au EU kw maitaji yake,ila EUinaitegemea urusi kw maitaji yake
Akili ya kinazi hii,Russia kapigwa sanctions na mnyamwezi leo Economy yote chali na wameshaingia kwenye recession, Russia is just another third world country na si lolote si chochote ni njaa tupu, juzi kapelekewa F-22 raptors mbili tuu karibu na border analia kama mtoto
 
Akili ya kinazi hii,Russia kapigwa sanctions na mnyamwezi leo Economy yote chali na wameshaingia kwenye recession, Russia is just another third world country na si lolote si chochote ni njaa tupu, juzi kapelekewa F-22 raptors mbili tuu karibu na border analia kama mtoto
hayo maneno unayasem wew lakin urusi wanakula tu bata na msikae kufikiria swala la kurudi crimea

Sent from my NEW V1 using JamiiForums mobile app
 
Akili ya kinazi hii,Russia kapigwa sanctions na mnyamwezi leo Economy yote chali na wameshaingia kwenye recession, Russia is just another third world country na si lolote si chochote ni njaa tupu, juzi kapelekewa F-22 raptors mbili tuu karibu na border analia kama mtoto
RUSSIA SACTIONS

The economic sanctions are generally believed
to have helped weaken the Russian economy
and to intensify the challenges that Russia was
already facing.
An analysis of recent data confirms Russia’s
entry into a recession, with negative GDP of
-2.2% for the first quarter of 2015, as compared
to the first quarter of 2014. Further, the
combined effect of the sanctions and the rapid
decline in oil prices in Q$2014 has caused
significant downward pressure on the value of
the ruble and flight of capital out of Russia. At the
same time, the sanctions on access to financing
have forced Russia to use part of its foreign
exchange reserves to prop up the economy.
These events forced the Central Bank of Russia
to stop supporting the value of the ruble and
increase interest rates.
Russia’s ban on western imports had the
additional effect on these challenging events as
the embargo led to higher food prices and further
inflation in addition to the effects of decreased
value of the ruble which had already raised the
price of imported goods.
Recent data confirm Russia’s entry into
recession, with GDP growth of -2.2% for the first
quarter of 2015, as compared to the first quarter
of 2014. Forecasts suggest a decrease in real
GDP in the order of 3% - 3.5% for 2015 (a
decrease of circa USD 70 billion) and zero
growth in 2016. [62]
Opposition within Europe
The Hungarian Prime Minister Viktor Orbán
stated that Europe “shot itself in the foot” by
introducing economic sanctions.[63] In the
words of the Bulgarian Prime Minister Boiko
Borisov: “I don’t know how Russia is affected by
the sanctions, but Bulgaria is affected severely”;
[64] Czech President Miloš Zeman also argued
that the sanctions should be lifted. [65]
The Greek Prime Minister Alexis Tsipras said
that Greece would seek to mend ties between
Russia and EU through European institutions.
Tsipras also said that Greece was not in favour
of Western sanctions imposed on Russia, adding
that it risked the start of another Cold War.[66]
[67]
The German business sector, with around
30,000 workplaces depending on trade with
Russia, reported being affected by the sanctions.
[68] A number of business figures in France and
Germany have opposed the sanctions.[69][70]
[71]
Paolo Gentiloni , Italian Minister of Foreign
Affairs, said that the sanctions “are not the
solution to the conflict”. [72] Some companies,
most notably Siemens Gas Turbine Technologies
LLC, were reported to attempt bypassing the
sanctions and exporting power generation
turbines to the annexed Crimea .[73]
In August 2015, the British think tank Bow Group
released a report on sanctions, calling for the
removal of them. According to the report, the
sanctions have had "adverse consequences for
European and American businesses, and if they
are prolonged... they can have even more
deleterious effects in the future"; the potential
cost of sanctions for the Western countries has
been estimated as over $700 billion.[74]
In March 2016, the Finnish farmers’ union MTK
says the Russian sanctions and falling prices
have put farmers under tremendous pressure.
Finland’s Natural Resources Institute LUKE has
estimated that last year farmers saw their
incomes shrink by 40 percent compared to the
previous year.

Sent from my NEW V1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom