Hii ndiyo hatari ya vita ya Ukraine na Urusi

Hii ndiyo hatari ya vita ya Ukraine na Urusi

SaintErick

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
95
Reaction score
61
Trump anataka ushindi katika vita ambayo 'hapigani' na Putin anataka ushindi dhidi ya 'dunia nzima'. Na kila mtu yuko tayari kufanya lolote kuhakikisha anashinda. Hili linaleta hatari ya vita nyingine kubwa zaidi duniani endapo mmoja atakosea hesabu za namna ya kuupata ushindi anaoutaka.

Na kwa hulka zao ni ngumu kutabiri matokeo ya maamuzi yao lakini kwa hakika kuna hatari ipo inainyemelea dunia na viongozi hawa wanapaswa kupiga vizuri hesabu zao.
Soma zaidi hapa>>>

 
Zelensky mara kwa mara amekua akijaribu kuchomoa battery sema Urusi wanawahi kuzuia shoti... Siku Urusi ikashindwa kuzuia mashambulizi yanayoelekezwa kwenye mitambo ya nuclear ndio siku NATO watamkana zelensky na kujifanya hawapo nae.

Uingereza wanachochea tu ila hali ikiwa mbaya watakula kona
 
Zelensky mara kwa mara amekua akijaribu kuchomoa battery sema Urusi wanawahi kuzuia shoti... Siku Urusi ikashindwa kuzuia mashambulizi yanayoelekezwa kwenye mitambo ya nuclear ndio siku NATO watamkana zelensky na kujifanya hawapo nae.

Uingereza wanachochea tu ila hali ikiwa mbaya watakula kona
Putin mwenyewe anawasubiri wajichanganye zaidi maana wana kiherehere kingi!
 
Trump anataka ushindi katika vita ambayo 'hapigani' na Putin anataka ushindi dhidi ya 'dunia nzima'. Na kila mtu yuko tayari kufanya lolote kuhakikisha anashinda. Hili linaleta hatari ya vita nyingine kubwa zaidi duniani endapo mmoja atakosea hesabu za namna ya kuupata ushindi anaoutaka.

Na kwa hulka zao ni ngumu kutabiri matokeo ya maamuzi yao lakini kwa hakika kuna hatari ipo inainyemelea dunia na viongozi hawa wanapaswa kupiga vizuri hesabu zao.
Soma zaidi hapa>>>

HIyo sio habari bali unatangaza blog yako.
 
Alichoandika kwenye blog inaonyesha hajavijua hivi vita vizuri
 
Back
Top Bottom