Kweli,na hichi kitu kinanikera kweli.Ila mara nyingi unajikuta umeanza kama slang halafu unajikuta imekuwa tabia!nimesikitika sana kuona hata kwenye bang! magazine,na michuzi akiwa ndio chief editor. Mwishowe tutaharibu lugha yetu iwe kama kiswahili cha kenya!