"Life is not measured by the breaths we take, but by the moments that take our breath away, Keep smiling, it makes people wonder what you're up to."
Mie nimependa zaidi signature yako! Especially when i am very upset, I give my magic smile! halafu mchukuzaji/mkwazaji anajiuliza maswali kibaoooo!
Back to th topic: hata ulaya zipo hizi! Hiyo slogan y amaisha bora ilimtoa hata Madiba enzi anatoka gerezani, akaukwaa urais. LAkini crime, poverty and the like, kwa sana.