Hii ndio sifa ya viongozi bora, hakuna anayeliweza hili kwa nchi zetu za kiafrika

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Davidi Cameroon waziri mkuu wa Uingereza, Aliahidi kuitisha kura za maoni wakati wa kampeni kupitia chama chake cha Conservative kuhusu kubaki au kujiondoa kwa nchi yake katika umoja wa Ulaya, amelitekeza hilo na wananchi wameamua kujiondoa kwa kura 52% zaidi ya 48% wailopenda kubaki yeye akiwa miongoni.

Kiongozi wa watu amesema kua hana la kusema, wananchi wameamua na dunia imeashuhudia kwahiyo anaheshimu mauzi yao na amesema mwezi wa kumi taifa lijiandae kupokea uongozi mpya.

MASWALI KWAKO MTANZANIA.
Kama kuna kiongozi mmoja Tanzania aliahidi kuanzisha mchakato wa katiba mpya kwenye kampeni kupitia chama chake CCM, akauanzisha na kisha akauweka mpira kwapani yeye pamoja na chama chake, Je, Davidi Cameroon angeshindwa kupoka mchakato wa kura za maoni ionekane kua 52% ndio wameamua kubaki badala ya 48%? Je, viongozi wetu Afrika wanajifunzi nini hapa? Hua wanajifunza au ndio laana?

Kwa hali hii maendeleo tunayoyaimba yatapatikana lini Tanzania na Afrika kwa ujumla? Kuna kuna haja ya kuendelea na mchakato wa katiba wanaodai umeishia njiani? Mchakato huo una maridhiano ya kina nani?
 
Davidi Cameroon waziri mkuu wa Uingereza, Aliahidi kuitisha kura za maoni wakati wa kampeni kupitia chama chake cha Conservative kuhusu kubaki au kujiondoa kwa nchi yake katika umoja wa Ulaya, amelitekeza hilo na wananchi wameamua kujiondoa kwa kura 52% zaidi ya 48% wailopenda kubaki yeye akiwa miongoni.


Kiongozi wa watu amesema kua hana la kusema, wananchi wameamua na dunia imeashuhudia kwahiyo anaheshimu mauzi yao na amesema mwezi wa kumi taifa lijiandae kupokea uongozi mpya.

MASWALI KWAKO MTANZANIA.

Kama kuna kiongozi mmoja Tanzania aliahidi kuanzisha mchakato wa katiba mpya kwenye kampeni kupitia chama chake CCM, akauanzisha na kisha akauweka mpira kwapani yeye pamoja na chama chake, Je, Davidi Cameroon angeshindwa kupoka mchakato wa kura za maoni ionekane kua 52% ndio wameamua kubaki badala ya 48%? Je, viongozi wetu Afrika wanajifunzi nini hapa? Hua wanajifunza au ndio laana?


Kwa hali hii maendeleo tunayoyaimba yatapatikana lini Tanzania na Afrika kwa ujumla? Kuna kuna haja ya kuendelea na mchakato wa katiba wanaodai umeishia njiani? Mchakato huo una maridhiano ya kina nani?


Jaribu kuulinganisha mzani, usiongelee Afrika kana kwamba ni upande mmoja tu yaani Chama tawala, Upinzani unaongozwa na akina Mbowe, fisadi Lowasa, Zito &Co. umewaacha wapi hapa?
 
Watawala wa Africa awaliwez hilo kuna mmoka kamteua mtoto wake kuwa makamu,mwingine kateua mke kuwa waziri. Na kuna mwingine uku katia katiba mfukoni anapeta na maneno yake.
 
...wenzetu wana demokrasia za kweli..Cameron ameona hoja ya kubaki EU imeshindwa nae kaamua kuachia ngazi...hamna kulazimisha mambo...huku kwetu jitu linashindwa kihalali urais(rejea ubakaji haki zenj)lakini linalazimisha kubaki tu madarakani...hata ikiwa against all the odds...TZ(na hasa Zanzibar) ina mengi ya kujifunza na kufata toka uingereza...
 
Mkuu hao ni wazungu Mungu aliwapa akili ya kuitawala hii dunia, huku Africa mambo ni tofauti, kuanzia enzi za mababu zetu wakiwauza wenzao utumwani mpaka leo hii karne ya 21, hakuna jipya. Kama ulivyosema mtu kaipa mamlaka taasis flan ifanye kazi yake,baadae inampa matokeo anakataa anatengeneza ya kwake. Ilikuwa hivyo kwa warioba na iko hivyo kwenye taarifa karibu zote za CAG halafu unajipa matumain kuwa una mipango ya kuendelea.
 
Jaribu kuulinganisha mzani, usiongelee Afrika kana kwamba ni upande mmoja tu yaani Chama tawala, Upinzani unaongozwa na akina Mbowe, fisadi Lowasa, Zito &Co. umewaacha wapi hapa?
Usome uelewe kitu na sio kujitia upuuzi kichwani.
 
Mafisadi umeyaweka wapi? Fisadi Mbowe mbona humtaji?
Kwanini uletu ujinga wako humu? Kuna mahali jina la mtu limetajwa hapa? Mtu mzima unapiga kamasi na mkono bila kuangalia ni kipi kinajadiliwa hapa.
 
Political willpower is what we lack or rather pretend not to understand. It's only God who can give us the power of understanding
 
jpm anamuda gani hadi muulize kuhusu katiba subirini tu ila kwa upande wa pili vipi
 
jpm anamuda gani hadi muulize kuhusu katiba subirini tu ila kwa upande wa pili vipi
Muda wa nini? Angeiweka basi katika moja ya ajenda zake. Na angeiombea fedhakwenye bajeti. Kama Ana nia muda utapatikana tu. Aseme basi tuone nia yake.
 
Davidi Cameroon waziri mkuu wa Uingereza, Aliahidi kuitisha kura za maoni wakati wa kampeni kupitia chama chake cha Conservative kuhusu kubaki au kujiondoa kwa nchi yake katika umoja wa Ulaya, amelitekeza hilo na wananchi wameamua kujiondoa kwa kura 52% zaidi ya 48% wailopenda kubaki yeye akiwa miongoni.

Kiongozi wa watu amesema kua hana la kusema, wananchi wameamua na dunia imeashuhudia kwahiyo anaheshimu mauzi yao na amesema mwezi wa kumi taifa lijiandae kupokea uongozi mpya.

MASWALI KWAKO MTANZANIA.
Kama kuna kiongozi mmoja Tanzania aliahidi kuanzisha mchakato wa katiba mpya kwenye kampeni kupitia chama chake CCM, akauanzisha na kisha akauweka mpira kwapani yeye pamoja na chama chake, Je, Davidi Cameroon angeshindwa kupoka mchakato wa kura za maoni ionekane kua 52% ndio wameamua kubaki badala ya 48%? Je, viongozi wetu Afrika wanajifunzi nini hapa? Hua wanajifunza au ndio laana?

Kwa hali hii maendeleo tunayoyaimba yatapatikana lini Tanzania na Afrika kwa ujumla? Kuna kuna haja ya kuendelea na mchakato wa katiba wanaodai umeishia njiani? Mchakato huo una maridhiano ya kina nani?

Cameruni alikuwa ana sapoti kuondoka EU, sema alikuwa anajifanya ndivyo sivyo, ame aacha uwaziri mkuu makusudi ili kujifanya anasikitika. Lakini mambo aliyokuwa akiyatamani amaeyatekeleza na kufanikiwa. Hapo alipo anapiga tu mvinyo akichekelea na kusema weweeee
 
Back
Top Bottom