Inawezekana sawa na kweli unataka mabadiliko...hapo nakuunga mkono...mabadiliko ni muhimu saana maishani kwetu,...je umefikiria pia pa kupatia mabadiliko????? unadhani mtu unayemuwaza akilini mwako kweli ataleta mabadiliko?? tutafakari na tuache kufwata mikumbo!
Sisi Mara Tumeshapiga Kura kwa Magufuri bila kodi Hakuna serikali
nchi isiyokusanya kodi ni nchi corrupt.... dunia yote watu wanalipa kodi,,, bila kodi serekari itajiendeshaje?
Ndugu Wana jamvi,wakati tukiendelea kuuguza jeraha la upumbavu,leo nimethibitisha kweli ilikuwa haki yetu kuitwa wapumbavu maana madhara yanayo kuja yana tuhusu sote.sasa sisi tunao taka kujikomboa tunaonekana wajinga lakini kuanzia tarehe 01/09/2015 WATATUELEWA kwanini tulikuwa tunalilia ukombozi.
TANZANIA REVENUE AUTHORITY wame Introduced kodi mpya inayo julikana kama RAILWAY LEVY,hii kodi inatakiwa ilipwe pindi tu mzigo/meli inapoingia KOJ.Kodi hiyo inakatwa 1.5% ya mzigo na mwisho wa siku mwananchi ndio anae teseka tujiandae kwa bei mpya ya mafuta.
Swali linakuja kwenu wa ndugu hivi mnadhani hayo ndiyo maisha bora kila mtanzania? Je kwanini tusitake ukombozi mpya wa kuepukana na madhira haya mnayo tutesea?
YOTE KWA YOTE NGINJA NGINJA HADI BAHARINI TUNAZAMA WOTE WANA CCM NA WAPUMBAVU.
25/10/215,ASUBUHI NA MAPEMA TWENDENI TUKAFANYE MAAMUZI MAGUMU.
URAIS:EDWARD NGOYAI LOWASA
UBUNGE SEGEREA:JULIUS MTATIRO,
WABUNGE MIKOANI:WANAO WAKILISHA UKAWA KUPITIA,CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,NLD.
Asante sana kwa ushauri wako mzuuuri sana. Ukombozi kwa watu unaotaka tuwape kura haupo kabisaaa. Wewe wapigie tu.Ndugu Wana jamvi,wakati tukiendelea kuuguza jeraha la upumbavu,leo nimethibitisha kweli ilikuwa haki yetu kuitwa wapumbavu maana madhara yanayo kuja yana tuhusu sote.sasa sisi tunao taka kujikomboa tunaonekana wajinga lakini kuanzia tarehe 01/09/2015 WATATUELEWA kwanini tulikuwa tunalilia ukombozi.
TANZANIA REVENUE AUTHORITY wame Introduced kodi mpya inayo julikana kama RAILWAY LEVY,hii kodi inatakiwa ilipwe pindi tu mzigo/meli inapoingia KOJ.Kodi hiyo inakatwa 1.5% ya mzigo na mwisho wa siku mwananchi ndio anae teseka tujiandae kwa bei mpya ya mafuta.
Swali linakuja kwenu wa ndugu hivi mnadhani hayo ndiyo maisha bora kila mtanzania? Je kwanini tusitake ukombozi mpya wa kuepukana na madhira haya mnayo tutesea?
YOTE KWA YOTE NGINJA NGINJA HADI BAHARINI TUNAZAMA WOTE WANA CCM NA WAPUMBAVU.
25/10/215,ASUBUHI NA MAPEMA TWENDENI TUKAFANYE MAAMUZI MAGUMU.
URAIS:EDWARD NGOYAI LOWASA
UBUNGE SEGEREA:JULIUS MTATIRO,
WABUNGE MIKOANI:WANAO WAKILISHA UKAWA KUPITIA,CHADEMA,CUF,NCCR MAGEUZI,NLD.
Tena usitusemee sisi wa Mara labda umesemee mwenzio wa GombeSisi Mara Tumeshapiga Kura kwa Magufuri bila kodi Hakuna serikali