Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Dec 3, 2014 #2 majambazi huwa hawavai viatu....
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Dec 3, 2014 #3 jambazi aliogopa kuchafua nyumba ya watu na viatu vyake vilivyokuwa vimejaa tope
sosoliso Platinum Member Joined May 6, 2009 Posts 8,543 Reaction score 9,478 Dec 3, 2014 #4 Zamaulid said: majambazi huwa hawavai viatu.... Click to expand... Ha ha ha.. naona alikuwa aliamua kuvivua ili apate kunyata vizuri lol..
Zamaulid said: majambazi huwa hawavai viatu.... Click to expand... Ha ha ha.. naona alikuwa aliamua kuvivua ili apate kunyata vizuri lol..
Sara JF-Expert Member Joined Aug 3, 2014 Posts 1,060 Reaction score 933 Dec 3, 2014 #5 Jambazi mstarabu sana' kavua viatu ili asichafue nyumba Ya watu
GreenCity JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 5,872 Reaction score 4,604 Dec 3, 2014 #6 Aliyevamiwa anasmaili
naiman64 JF-Expert Member Joined Nov 22, 2013 Posts 6,988 Reaction score 5,503 Dec 3, 2014 #7 Sina muda mchafu wa kuangalia hii takataka nitakasirika tu
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 Dec 3, 2014 #8 safi sana, dunia inahitaji majambazi wastarabu kama huyu jamaa
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,333 Dec 3, 2014 #9 Akimaliza kufanya uhalifu ataomba msamaha na kusali kidogo ndiyo aondoke,lol!
Galadudu JF-Expert Member Joined Jun 23, 2014 Posts 2,304 Reaction score 780 Dec 3, 2014 #10 Undo wanaanza jamani tuwapeni muda turn name mambo yatakaa vzr cku moja maana hata Hollywood hawakuanza hivi walivyo leo
Undo wanaanza jamani tuwapeni muda turn name mambo yatakaa vzr cku moja maana hata Hollywood hawakuanza hivi walivyo leo
Mtali JF-Expert Member Joined Aug 7, 2011 Posts 3,954 Reaction score 3,328 Dec 3, 2014 #11 Nimelazimika kucheka kwakweli....
VAN HEIST JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 1,434 Reaction score 617 Dec 3, 2014 Thread starter #12 Galadudu said: Undo wanaanza jamani tuwapeni muda turn name mambo yatakaa vzr cku moja maana hata Hollywood hawakuanza hivi walivyo leo Click to expand... lakini majambazi wa hollywood hawakua wanavua viatu..
Galadudu said: Undo wanaanza jamani tuwapeni muda turn name mambo yatakaa vzr cku moja maana hata Hollywood hawakuanza hivi walivyo leo Click to expand... lakini majambazi wa hollywood hawakua wanavua viatu..
C chekole Member Joined Nov 6, 2014 Posts 6 Reaction score 3 Dec 4, 2014 #13 Duh! Kweli kaka jambazi mstaraabu sana
Galadudu JF-Expert Member Joined Jun 23, 2014 Posts 2,304 Reaction score 780 Dec 4, 2014 #14 VAN HEIST said: lakini majambazi wa hollywood hawakua wanavua viatu.. Click to expand... Kwani we ulikuwepo wakati wanaanza
VAN HEIST said: lakini majambazi wa hollywood hawakua wanavua viatu.. Click to expand... Kwani we ulikuwepo wakati wanaanza
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 25,994 Reaction score 25,387 Dec 4, 2014 #15 VAN HEIST said: View attachment 207720 Click to expand... kweli hii ndio bongolala muvi...jambazi anavua viatu kabla ya kuingia ndani asije akachafua kapeti! hii kali. hahahaha!
VAN HEIST said: View attachment 207720 Click to expand... kweli hii ndio bongolala muvi...jambazi anavua viatu kabla ya kuingia ndani asije akachafua kapeti! hii kali. hahahaha!
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 25,994 Reaction score 25,387 Dec 4, 2014 #16 raphael magata said: Akimaliza kufanya uhalifu ataomba msamaha na kusali kidogo ndiyo aondoke,lol! Click to expand... Jambazi MTAKATIFU!
raphael magata said: Akimaliza kufanya uhalifu ataomba msamaha na kusali kidogo ndiyo aondoke,lol! Click to expand... Jambazi MTAKATIFU!
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Dec 4, 2014 #17 Wachumia tumbo
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Dec 4, 2014 #18 salyo said: jambazi mstarabu sana' kavua viatu ili asichafue nyumba ya watu Click to expand... lolo hii sikuiona
salyo said: jambazi mstarabu sana' kavua viatu ili asichafue nyumba ya watu Click to expand... lolo hii sikuiona
VAN HEIST JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 1,434 Reaction score 617 Dec 4, 2014 Thread starter #19 Galadudu said: Kwani we ulikuwepo wakati wanaanza Click to expand... Sikuwepo lakini muvi zao za mwanzo zipo
Galadudu said: Kwani we ulikuwepo wakati wanaanza Click to expand... Sikuwepo lakini muvi zao za mwanzo zipo
sajumo JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 1,834 Reaction score 1,056 Dec 4, 2014 #20 Galadudu said: Undo wanaanza jamani tuwapeni muda turn name mambo yatakaa vzr cku moja maana hata Hollywood hawakuanza hivi walivyo leo Click to expand... Hata ukiangalia muvie za akina chale champling za black and white muvie za zamani za kihind toka amita anaekti mtoto mpaka sasa babu still bongo wavivu wanaopenda kupata bila kutoa ndio maana rais akiulza utakulaje bila kuliwa
Galadudu said: Undo wanaanza jamani tuwapeni muda turn name mambo yatakaa vzr cku moja maana hata Hollywood hawakuanza hivi walivyo leo Click to expand... Hata ukiangalia muvie za akina chale champling za black and white muvie za zamani za kihind toka amita anaekti mtoto mpaka sasa babu still bongo wavivu wanaopenda kupata bila kutoa ndio maana rais akiulza utakulaje bila kuliwa