msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,148
Hahahahha...Pamoja na jina zuri la Phillips na ubora wake lakini mzee wako ni mtunzaji mzuri.
Kuna watu wa aina hiyo kwenye maisha. Wapo smart na wana principles zao, mara nyingi wanaitwa wakuda.
Principles zao: akitumia kitu anarudisha pale pale anapowekaga, na kama hatakikuta alipokiweka basi tabiri ugomvi.
Mara nyingi hawa watu ni wasafi na wachapakazi.
Mara nyingi wanaitwa wakuda..