Hii nchi ni ya baba yao?

Hii nchi ni ya baba yao?

Joined
Apr 23, 2012
Posts
45
Reaction score
4
Kwa kweli ndugu zangu mie nimechoka kusikia jinsi watu wanavyoila hii nchi, sielewi wana maana gani, HIVI CCM hii nchi mliachiwa na Bibi yenu? mbona hamna hata aibu, ufujaji mwingine mimi nikisikia mpaka masikio yanawasha, Maana yake ni nini sasa?
 
Well said mkuu, hapa tulipo na huku tuendako siko kabisa, ccm wameifanya hii nchi ni kama mali yao, na sisi wananchi tumebaki kuwaangalia tu... Inatubidi tuingie mtaani tuitoe hii serikali madarakani, kwani hii nchi ni yetu sote na si ya ccm. Lkn sisi wananchi tumekuwa kama mazuzu, madudu yote haya yanayotokea tunaishia kulalamikia kwenye keyboards....
 
Back
Top Bottom