Wakuu hili tatizo linakusudiwa kama vairus anaetamba duniani huku kwetu halijashamiri sana huko marekani na ulaya tayari nitatizo kubwa. tujiangalie sana na vyakula tunavyo tumia hasa vinavyo onekana kupendwa na watu sasa hivi tayari vimeanza kuingia hapa kwetu nasisi tunavipokea ni bora ule kwa mama ntilie kuliko steras na sehem zingine kama hizo vyakula hivi vimejaswa kilaaina ya madawa. sina utalam zaid wakuchambua kuhusu kemikali gani zinatumiwa ispokuwa tujaribu kufkiri kwa kina inawezekanaje chakula kitayariswe kwa uwezo wakuwepo kwa muda wa miaka miwilli na zaid wenye ujuzi tafadhali tupeni elim
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.