Hii modem siielewi elewi

Hii modem siielewi elewi

UncleJoe

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
624
Reaction score
508
attachment.php



wataalam nimeshangazwa na hii modem wakati nafungua dashboard nikaona imesoma 26.2Mbps nikahisi macho tu ikabidi niangalie kwenye statistics nikaona kweli ilifika huko japo iligusa tu na kurudi chini ikabaki kucheza kwenye 11Mbps na 13Mbps kwa muda kidogo nikahisi kama ina mtindio kidogo ila cha ajabu muvi iliyokuwa imeanza kudownload ikawa imeandika 9minutes remained na ikacomplete baada ya huo muda...

kitu ambacho sielewi ni kuwa hii modem ni huawei e303 ambayo nadhani limit yake ni 7.2Mbps download speed sasa imewezaje kufika huko kote au kuna kitu sielewi hapa,

cc chief-mkwawa, NingaR Mwl.RCT njunwa wamavoko nurbert na wengine mnaojua hizi mambo za modem mnisaidie kunifafanulia
 

Attachments

  • Untitled.jpg
    Untitled.jpg
    115.5 KB · Views: 258
Ndugu yangu chief mkwawa habari za majukum nilikuwa naomba msaada wako wa jinsi ya kuanlock modem ya safari com model ni E303 huawei
 
hata mi inatokea hua inaji double count nafkiri ni error ya kimahesabu. ukiwa idm au sehemu nyengine je haiwi 5.5mbps?
 
hata mi inatokea hua inaji double count nafkiri ni error ya kimahesabu. ukiwa idm au sehemu nyengine je haiwi 5.5mbps?
sikuwa na download kitu kwa idm ila ngoja baadae leo ntajaribu hili zoezi nione tena , ila nahisi ni error
 
hata mi inatokea hua inaji double count nafkiri ni error ya kimahesabu. ukiwa idm au sehemu nyengine je haiwi 5.5mbps?
mie kuna siku iliwahi soma 1.05MB/s kwa IDM kwa hihii Huawei e303
 
kama ni huawei E303Hilink basi ni sawa, huwa hiyo model ina Boost speed (technology ya kuongeza speed abouve its limit)


attachment.php



wataalam nimeshangazwa na hii modem wakati nafungua dashboard nikaona imesoma 26.2Mbps nikahisi macho tu ikabidi niangalie kwenye statistics nikaona kweli ilifika huko japo iligusa tu na kurudi chini ikabaki kucheza kwenye 11Mbps na 13Mbps kwa muda kidogo nikahisi kama ina mtindio kidogo ila cha ajabu muvi iliyokuwa imeanza kudownload ikawa imeandika 9minutes remained na ikacomplete baada ya huo muda...

kitu ambacho sielewi ni kuwa hii modem ni huawei e303 ambayo nadhani limit yake ni 7.2Mbps download speed sasa imewezaje kufika huko kote au kuna kitu sielewi hapa,

cc chief-mkwawa, NingaR Mwl.RCT njunwa wamavoko nurbert na wengine mnaojua hizi mambo za modem mnisaidie kunifafanulia
 
mie kuna siku iliwahi soma 1.05MB/s kwa IDM kwa hihii Huawei e303
khaaa sasa ukashangaa? mbona kawaida tu iyo... mie huku kwetu kukiwa hakuna mvurugiko iyo ni kawaida tu
 
kama ni huawei E303Hilink basi ni sawa, huwa hiyo model ina Boost speed (technology ya kuongeza speed abouve its limit)
nilikuwa sijui hili, ila ngoja nigoogle kwa habari zaidi
 
Hizi custimized mobile zina exagerate mambo...
Nafikiri na mkuu leh aliwaikuja na ile ya kimox kimokole afu ikawa inasoma 11Mbps afu download speed kwenye IDM 300KB/s...

Akina chief-mkwawa wakaleta notions kwamba huenda kuna Windows update ibaendelea,huenda pia hapo hapo karusha hotspot n.k

Mwisho wa siku turudi tuseme kwamba mtu atumie Default dashboard ya Modem probably hizo custimized mobile partner zina calibrate speed wrongly...

Kuhusu hizi za E3003 voda wanadai ni modem za 3.75G afu ukiichomeka kwenye pc inaonesha 7.6Mbps kule Control panel kwenye networks..
3.75G ni Enhanced 3G au HSPA+ Ambayo inaweza range 14.4-21.6Mbps...
Probably haya mambo ni THEORETICAL
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom