Kwamba hii ni 2go au sio?Ukinionesha utapata namba yangu
Daah Umenikumbusha mbali sana,Kwamba hii ni 2go au sio?
Kudadadeki zako
Haha haiwezi kukosekana app/play store. Kitambo sana 2go, ile room yenye wahindi wao kutuma ''nunu' zao ni jambo la kawaida mno kwao.Daah Umenikumbusha mbali sana,
Kwanza bado ipo kweli?
Hahahahahahahahahahaha nyie watu nyieeeee inabidi tutambuane kwa kweli,Haha haiwezi kukosekana app/play store. Kitambo sana 2go, ile room yenye wahindi wao kutuma ''nunu' zao ni jambo la kawaida mno kwao.
Mwaka 2018 niliicheck. Wala haikuwa na vibe kama ile ya zamani nikaifuta.
Haha haiwezi kukosekana app/play store. Kitambo sana 2go, ile room yenye wahindi wao kutuma ''nunu' zao ni jambo la kawaida mno kwao.
Mwaka 2018 niliicheck. Wala haikuwa na vibe kama ile ya zamani nikaifuta.
Mimi wananifurahishaga wajeshi kwenye kuelekezana direction .. zile six oclock, on your 9, ...utasiki 2 oclock
Inanifurahishaga sanaa
Thanks man,,Kwahyo iyo Scratch my back ni sawa na kusema "Nisaidie then namimi ntakusaidia"?Sio check the sound ni check this out..hapa wanamaanisha Angalia navyofanya kweli.
Scratch my back and i will scratch yours=Mambo ni kupeana,nipe nikupe.
Yes ndo hivyo..Thanks man,,Kwahyo iyo Scratch my back ni sawa na kusema "Nisaidie then namimi ntakusaidia"?
kwa uelewa wangu mdogo ina maana ya "nipe nikupe.."Bro hiyo scratch my back I will scratch yours huoni imejificha,zote2 zinanitatiza mkuu,,na Hiyo goddaaaamn
😁😁Aaah ucwaze Jombaa ntafanya ivoSema nn mkuu....? Huwa napata wakati mgumu sana ukitumia ile misemo yenu ya Chuga... yan ni kam ww unavyopata shida kwa hch Kiingilish cha Kimarekan.
Fanya hata uanzishe sredi utufundishe kichuga.
Roger thatMimi wananifurahishaga wajeshi kwenye kuelekezana direction .. zile six oclock, on your 9, ...utasiki 2 oclock
Inanifurahishaga sanaa