DSM hiyo ambayo BRT inawatesa, mlijitutumua kufanya maambo ya Ulaya bila kujipanga....
Vitu kwa ground naona ni different 😂😂Hehehe!!!! Hawa ni balaa, haya mabasi wanayaingilia hata dirishani ila wanakuambia wanataka wafanane na Ulaya...
Sasawa ze la chips kavuRelax kijana kula sima ushibe naa sukuma wik
Ndio muingize watu kupitia dirishaniWakenya washamba sana asubuhi na jioni huwa watu wapo wengi hiyo ni kawaida nchi yoyote alafu lazima changamoto ziwepo.Ebu wakenya leteni mradi wowote mzuri kama huu kenya nzima.
Naona umeandika kw lugha ya kitambulisho chako ukaamua kuisweka ya taifa lako leoAmong top 10 Failed state in the word Kenya score high.
Nairobi inclusive
Ndio muingize watu kupitia dirishani
Haya ni mambo ya vijijini zama zile kabisa, jamaa hupitia dirishani kw sababu kulikua na uhaba wa vyombo vya usafiri..Hehehe!!!! Hawa ni balaa, haya mabasi wanayaingilia hata dirishani ila wanakuambia wanataka wafanane na Ulaya...
New York of Africa inachekesha sana 😂Hehehe!!!! Hawa ni balaa, haya mabasi wanayaingilia hata dirishani ila wanakuambia wanataka wafanane na Ulaya...