mie leo nimepewa kali ya mwaka. Kuna binamu yangu aliniambia last month kuwa bintiye anapata kipaimara. Nikamuambia poa. Leo ananiambia unajua wewe ndio Godmother wake? Kidogo nizimie. Manake hapo kuna blackmail ya kununua nguo ya mtoto (traditionally ndo inakuwaga kazi ya godmother), na bado kwenda manake anakaa mbali karibia na mbinguni! Nimechoka manake kiddo mwenyewe sijawahi kummeet, naskia alibatizwa hospitali ati nikaandikwa mie!