mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,909
- 18,551
Baada ya loan breakdown kutoka nimeona wanafunzi wote wanaosoma Bsc I. aquaculture hawajapangiwa pesa za field and practical training.
Ina maana hii kozi huwa hawaendi field au?
Hivi kweli mwanafunzi akae chuoni tu halafu utegemee awe na uwezo wa kusaidia wa kujiajiri na kusaidia wafugaji wengine wa samaki bila ya kwenda field?
Bila ya kwenda field ni kupoteza pesa kumfundisha mtu nusu nusu! Huko siyo kuokoa pesa Bali ni kufuja pesa! Ni kuzalisha wataalamu wasiojua hali halisi ya nyanja walizojifunza, na inauma sana!
Ina maana hii kozi huwa hawaendi field au?
Hivi kweli mwanafunzi akae chuoni tu halafu utegemee awe na uwezo wa kusaidia wa kujiajiri na kusaidia wafugaji wengine wa samaki bila ya kwenda field?
Bila ya kwenda field ni kupoteza pesa kumfundisha mtu nusu nusu! Huko siyo kuokoa pesa Bali ni kufuja pesa! Ni kuzalisha wataalamu wasiojua hali halisi ya nyanja walizojifunza, na inauma sana!