Mwenzio vita ya Iddi Amin Daada ili niathiri sana hivyo mkisema hivyo mtaniogopesha...... Waulize Kagera watakwambia hasara na faida ya mechi kama hizi..Ukilala chini ya ardhi (underarc) kama umezikwa na juu mabomu yanalipuka ndo mtaona kuwa mechi hazistahili kushabikiwa.