curie JF-Expert Member Joined Oct 25, 2020 Posts 1,096 Reaction score 2,593 Dec 8, 2025 #1 Hii kauli ya serikali watu wabakie majumbani si rafiki hata kidogo ..Si wakazi wote wa Mji wa Dar Wanamajumba wengine wanaishi na kulala usiku unampukutia ..kwa mfano Bodaboda, wamasai , machinga ,mamantilie ,waokota makopo n.k Ni hayo tuu
Hii kauli ya serikali watu wabakie majumbani si rafiki hata kidogo ..Si wakazi wote wa Mji wa Dar Wanamajumba wengine wanaishi na kulala usiku unampukutia ..kwa mfano Bodaboda, wamasai , machinga ,mamantilie ,waokota makopo n.k Ni hayo tuu
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,940 Reaction score 38,033 Dec 8, 2025 #2 Nibaki nyumbani! Wiki ya tatu sasa hatuna maji, tunatoka zaidi km 3 kupata maji ya kisima , sasa kwa mtindo huo ni kwa vipi naweza kusalia nyumbani?
Nibaki nyumbani! Wiki ya tatu sasa hatuna maji, tunatoka zaidi km 3 kupata maji ya kisima , sasa kwa mtindo huo ni kwa vipi naweza kusalia nyumbani?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 371,548 Reaction score 860,650 Dec 8, 2025 #3 curie said: Hii kauli ya serikali watu wabakie majumbani si rafiki hata kidogo ..Si wakazi wote wa Mji wa Dar wanamajumba wengine wanaishi na kulala usiku unampukutia ..kwa mfano Bodaboda, wamasai , machinga ,mamantilie ,waokota makopo n.k Ni hayo tuu Click to expand... Serikali yenyewe ni batili
curie said: Hii kauli ya serikali watu wabakie majumbani si rafiki hata kidogo ..Si wakazi wote wa Mji wa Dar wanamajumba wengine wanaishi na kulala usiku unampukutia ..kwa mfano Bodaboda, wamasai , machinga ,mamantilie ,waokota makopo n.k Ni hayo tuu Click to expand... Serikali yenyewe ni batili
Gurugurumee JF-Expert Member Joined Apr 4, 2024 Posts 702 Reaction score 1,235 Dec 8, 2025 #4 Mshana Jr said: Serikali yenyewe ni batili Click to expand... Kauli na amri pia batili
Vitalis Msungwite JF-Expert Member Joined May 11, 2014 Posts 3,318 Reaction score 7,984 Dec 9, 2025 #5 Hasa hasa mliopo Dar bakini ndani msitupigie kelele