Hii kampuni ya Simu Tv ni ya nani?

Hii kampuni ya Simu Tv ni ya nani?

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Wana ndugu naomba kuwauliza hii kampuni ya simu tv ni ya nani? Kazi yao ni kuweka habari za ma CCM tu. Ukitafuta habari za wana mabadiliko kwenye habari zao hamna, hii kampuni ni ya nani?

Kama vipi mtu wetu Tumaini Makene anzisha kampuni yetu ya UKAWA utupie mambo mzee
.
 
Huyu lendila inaonyesha tanesco wamemnyima uhondo wa News
Sasa alipoenda simTv ajue kilichojiri akakutana na miCcm tu.
Hahah pole mkuu
 
Last edited by a moderator:
Simu TV ukitaka kuifaidi nenda Facebook, itafute kisha tafuta taarifa za habari za Azam ITV na mambo utapata za kijahidina huko kaka. Imesaidia sana kuwaumbua TBC1 katika kipindi cha magazeti.
 
Wana ndugu naomba kuwauliza hii kampuni ya simu tv ni ya nani?
Kazi yao ni kuweka habari za maccm tu
Ukitafuta habari za wanamabadiliko kwenye habari zao hamna,hii kampuni ni ya nani?
Kama vipi mtu wetu tumaini makene anzisha kampuni yetu ya ukawa utupie mambo mzee

Hiyo kampuni itakuwa na mahusiano na magamba
 
Hiyo kampuni inatangazwa sana na tbc hivyo mimi hata kuisikia sitaki kabisa
 
Simu TV ukitaka kuifaidi nenda Facebook, itafute kisha tafuta taarifa za habari za Azam ITV na mambo utapata za kijahidina huko kaka. Imesaidia sana kuwaumbua TBC1 katika kipindi cha magazeti.

TBC ni kichefu chefu
 
Huyu lendila inaonyesha tanesco wamemnyima uhondo wa News
Sasa alipoenda simTv ajue kilichojiri akakutana na miCcm tu.
Hahah pole mkuu

Hivi hawa tanesco nao vipi?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kampuni ina ubia na TBC hata habari zao 60percent ni tbc

Wako very biasi hawaweki habari za upinzani
 
Huyu lendila inaonyesha tanesco wamemnyima uhondo wa News
Sasa alipoenda simTv ajue kilichojiri akakutana na miCcm tu.
Hahah pole mkuu

Kibo umenena kweli
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kampuni ni ya kaburu wa Dubai, imekatazwa kuzitangaza ukawa siku nyingi,so inafanya kampeni ya MAGUFULI TUU,NI AGIZO LA UONGOZI, AFU KUNA JAMAA MMOJA WA EFM NI MGANDA ANAITWA SEBBO AMEFANYA NIANZE KUICHUKIA HIKO KIREDIO, OMARY KATANGA ALIKUWA anasoma vichwa vya habari vya magazeti juzi afu yeye akawa anazomea habari za Lowassa na Ukawa, za Magufuli anafurahi na kusifia, kama amekuja hapa anajibembeleza vibali vya kuishi hapa, namsihi afanye kazi iliyomleta siasa hazimuhusu kabisaaaaa atuachie nchi yetu, sipendi uzandiki na kutotumia weredi kwenye FANI la sivyo usipende kufanya mambo ukidhani Tanzania Umeinunua,ni nchi yetu....

Wewe fanya miburudani yako,mambo serious ya nchi yetu tuachie.
 
hiyo kampuni ni ya kaburu wa Dubai,imekatazwa kuzitangaza ukawa siku nyingi,so inafanya kampeni ya MAGUFULI TUU,NI AGIZO LA UONGOZI, AFU KUNA JAMAA MMOJA WA EFM NI MGANDA ANAITWA SEBBO AMEFANYA NIANZE KUICHUKIA HIKO KIREDIO,OMARY KATANGA ALIKUWA anasoma vichwa vya habari vya magazeti juzi afu yeye akawa anazomea habari za Lowassa na Ukawa,za Magufuli anafurahi na kusifia,kama amekuja hapa anajibembeleza vibali vya kuishi hapa,namsihi afanye kazi iliyomleta siasa hazimuhusu kabisaaaaa atuachie nchi yetu,sipendi uzandiki na kutotumia weredi kwenye FANI la sivyo usipende kufanya mambo ukidhani Tanzania Umeinunua,ni nchi yetu......wewe fanya miburudani yako,mambo serious ya nchi yetu tuachie.
 
Back
Top Bottom