hii kali

hii kali

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
jamaa alikuwa kwenye usaili wa kuomba kazi. na mahijiano yalikua hivi
boss: naomba cheti cha kuzaliwa
jamaa: kwani huamini kama nimezaliwa?
 
jamaa alikuwa kwenye usaili wa kuomba kazi. na mahijiano yalikua hivi
boss: naomba cheti cha kuzaliwa
jamaa: kwani huamini kama nimezaliwa?

alipowapa chet ikaonekana ana umri wa miaka 72 et wakamwambia siku inayofuata aende na wazaz wake wote wawil
 
Dah nimecheka sana maan hayo majibu ya mkato

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom