πππkuna mzee sehemu ninapokaa analewachakari,ila anaendesha gari toka popote alipo maana huwa wanamsaidia kumpandisha,akifika getini kwake wakichelewa kufungua analala,kumnasua lazima abebwe.......ila huwa najiuliza anawezaje kuendesha gari wakati hata kusimama mwenyewe hawezi.......