Uduvi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 738
- 521
Leo baada ya mizunguko msingi ya hapa na pale si nikaamua kumpigia simu shemela wenu wa zamani tukakutana sehemu nikamuomba game akasema Hataki kunipa gemu g house kama nataka gemu niende kwake basi kishingo upande si nikaenda ghafla kutahamaki sina jezi aka condom nikamuuliza duka liko wapi ili nikanunue iyo bidhaa akadai duka liko mbali nikameambia kwaiyo inakuaje sasa akasema tufanye hvyihvyo Mimi nikakataa nikamwambia kama ana jezi anipe tu tufanye mambo wala sitamfikiria vibaya ghafla bin vuu si akaleta jezi.nikala mzigo na kusepa ila nimeamini huu mchezo hutaki hasira u natakiwa ule kwa urefu wa kamba yako tu ukiondoka wanakula wenzako ila kwa kuwa najielewa wala sijamind wala nini.