Hii kali RUGAIMUKAMU:

Kibirizi

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
604
146
Hii kali RUGAIMUKAMU: Hivi Rweyongeza kale katoto kako Gozbert kako wapi siku hizi? Maana nakumbuka kalikuwa “dull” darasani mwenzake Albert ni daktari bingwa sasa!


MUCHUNGUZI: Ee Albert kumbe ni mtaalamu.


RWEYONGEZA: Aa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa walioshindwa na madaktari bingwa!


RUGAIMUKAMU: mmmmm!!!! (BAADA YA RUGAIMUKAMU kuondoka). MUCHUNGUZI: Eee Rweyongeza, nilishindwa kukuuliza vizuri mbere ya Rugaimukamu, sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa walioshindwa na madaktari bingwa, yeye ni nani?


RWEYONGEZA: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimba makaburi!! Tehee Tehee kwikwi.
 
Ha ha haaa..! Wahaya bwana, kila mtu anatakakuwa juu ya mwenzake, teh teh tehhh
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…