Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Apologise lady nadhani pia nimemuelewa huyo jamaa. Maana yake ni mfano umemuandika soulmate wako about something then akaingia humu akaona ulicho muandikia kuhusu so hapo ego atajiskiaje so point to get there is the reaction.. nadhani itakua na two sides positive kua utajua reaction yake but negative utaweza mpoteza
Na mim nimemuelewa hvo,
Nimewaza nikacheka kiukweli mtu akijijua kaandikwa lazima pachimbike, maana humu ni full malalamiko,