Hii inanitatiza sipati jibu

Hii inanitatiza sipati jibu

mamitod

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
914
Reaction score
385
Kweli tunatumia ID tuzijuaxo ssisi wenyewe. Hivi km mpenzio nae yumo humu halafu anakutana na uzi ambao umemtokea wrwe ndio umeuandika atajisikia vp halafu reaction itakuwaje? Nisaidieni wadau. Hasa mambo ya mgegedo waume wajisifia saana hlf mkeo au demu wako anakuta umeandika exactly vile ulivyomfarua inakuwaje??
 
mmm ngoja nikavae miwani nitarudi tena
 
mamitod , ushaolewa? au bado unasoma?
 
Last edited by a moderator:
Wew unaogopa nini kama mmeo yumo humu, kuna dhambi gani kubwa unaifanya hadi uogope kujua id yako???

Zaidi ya yote jaribu kwanza kumwandika ndio utajua reaction yake, sisi hatuwezi jua
 
Apologise lady inaonesha umemuelewa, me cjamuelewa nielekeze kidgo anachomaanisha.
 
Last edited by a moderator:
Apologise lady inaonesha umemuelewa, me cjamuelewa nielekeze kidgo anachomaanisha.

Mimi enzi zangu nilisoma KKK tatu ndio maana nimemuelewa, ilikuwa kila siku lazima kila mtu asome adithi kwenye kitabu cha" TUJIFUNZE KUSOMA" ndio unaruhusiwa kwenda nyumbani na mwalimu babu, nilichoona hapo ni typing error na kufupisha zaidi mawazo yake, sasa nyie mmesoma darasa la kwanza masomo 10 na swimming ndani yake huku mkisindizwa na google si rahisi kuelewa.

fanya kugoogle
 
Mimi enzi zangu nilisoma KKK tatu ndio maana nimemuelewa, ilikuwa kila siku lazima kila mtu asome adithi kwenye kitabu cha" TUJIFUNZE KUSOMA" ndio unaruhusiwa kwenda nyumbani na mwalimu babu, nilichoona hapo ni typing error na kufupisha zaidi mawazo yake, sasa nyie mmesoma darasa la kwanza masomo 10 na swimming ndani yake huku mkisindizwa na google si rahisi kuelewa.

fanya kugoogle

Mmmh! acha nika'google, ntarudi..
 
Mimi enzi zangu nilisoma KKK tatu ndio maana nimemuelewa, ilikuwa kila siku lazima kila mtu asome adithi kwenye kitabu cha" TUJIFUNZE KUSOMA" ndio unaruhusiwa kwenda nyumbani na mwalimu babu, nilichoona hapo ni typing error na kufupisha zaidi mawazo yake, sasa nyie mmesoma darasa la kwanza masomo 10 na swimming ndani yake huku mkisindizwa na google si rahisi kuelewa.

fanya kugoogle

Sio kwamba hawajaelewa!
Wangekuwa wasomi kweli wangekuwa wameelewa. Tuko aina tofauti humu JF. Kuna watoa hoja,wachangiaji, wakosoaji, wapitaji, wasiolewa na walojaa kejeli/dharau. Kila mmoja lazima atekeleze wajibu wake vilivyo!! NO OFFENCE.
 
Sio kwamba hawajaelewa!
Wangekuwa wasomi kweli wangekuwa wameelewa. Tuko aina tofauti humu JF. Kuna watoa hoja,wachangiaji, wakosoaji, wapitaji, wasiolewa na walojaa kejeli/dharau. Kila mmoja lazima atekeleze wajibu wake vilivyo!! NO OFFENCE.

Unajua suala la kujieleza (namna yakuwasilisha mawazo) si kila mtu anaweza kusema akaeleweka moja kwa moja, mim huwa naona ni mambo madogo tu hayo, maana hata mim sijakamilika
 
Apologise lady nadhani pia nimemuelewa huyo jamaa. Maana yake ni mfano umemuandika soulmate wako about something then akaingia humu akaona ulicho muandikia kuhusu so hapo ego atajiskiaje so point to get there is the reaction.. nadhani itakua na two sides positive kua utajua reaction yake but negative utaweza mpoteza
 
Unajua suala la kujieleza (namna yakuwasilisha mawazo) si kila mtu anaweza kusema akaeleweka moja kwa moja, mim huwa naona ni mambo madogo tu hayo, maana hata mim sijakamilika

Wala hakuna alokamilika isipokuwa Mwenyezi Mungu. Tatizo linatokea pale tunapojiona bora na kuanza kuplay god, hata kusahau dhumuni la mtoa hoja. Badala kuchangia mada tunaanza mambo mengine ya kufedhehesha.

Nway, thanks to JF, nimejifundisha kiswahili.
 
Wala hakuna alokamilika isipokuwa Mwenyezi Mungu. Tatizo linatokea pale tunapojiona bora na kuanza kuplay god, hata kusahau dhumuni la mtoa hoja. Badala kuchangia mada tunaanza mambo mengine ya kufedhehesha.

Nway, thanks to JF, nimejifundisha kiswahili.

Afadhali kama umelijua hilo nawe.
 
Back
Top Bottom