Hii inagwajimisha sana!

Hii inagwajimisha sana!

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
17,276
Reaction score
23,568
Watanzania wenzangu tuepuke kuwagwajimisha wengine kwani huu si ustaarabu.

Hata kama una maoni tofauti na wengine tumia busara, acha gwajima=acha jazba, kuropoka, kudhalilisha

Wenye gwajima zao wataishia kwenye vyombo vya dola

Bado naona wapo watu wengi hapa nchini ambao hupenda kuwagwajimia wengine badala ya kutumia lugha ya staha

Kardinali Pengo amegwajimishwa sana kuliko alivyostahili kwa kutoa maoni yake binafsi kwa kurekebesha mstari katika makunaliano ya Jumuiya ya Wakristo Tanzania.

Kama unagwajimishwa, basi badala ya wewe kujibu kwa gwajima jibu kwa upole na busara kwani hii itaepusha ugomvi usio wa lazima
 
Naona umepata namna nyingine ya kukuza lugha ya Kiswahili.
 
Kugwajima, kugwajimishiana, ugwajamishaji, ugwajimishianaji, kudegwajishimize, gwajimishinize etc what a new vocabulary
 
Back
Top Bottom