Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Jambo hili limeshawahi kukutokea Kwenye mapenzi,mfano upo Kwenye mapenzi na mwanamke ambaye mmezaa mtoto ambaye ni first born Kwenu Kisha ikatokea mwanamke akapata issue nchi ya mbali na kuondoka na mtoto bila kukuaga kwa kuhofia utamkataza,ni hatua gani utachukua ikizingatia unakuwa unammiss sana mwanao na hawana dalili za kurudi?