[FONT=trebuchet
ms]Dah! Nilikuwa kwenye jam nawaza. Mara ghafla nikakumbuka kitu ambacho
sijawahi kukitilia maanani.
Yani wasichana wote niliowahi kukutana nao (Except wife tu) eti mimi
nilikuwa wa pili kwao. Yaani after yule aliyewaingiza ukubwani.
Seriously? Yaani inawezekana hiyo coincidence? yani wote i was the
second?
Dah hapo nilikuwa napigwa changa la macho tu halafu mbaya hata
sikuwauliza walijisemea tu.
Eti "baby you're my second"[/FONT]