Hii imekaaje?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
kilichosainiwa na rais kia makubwa
 
mkuu ina mana una uhakika walioshangilia ni waislam watupu wakristo hawamo? viongozi serekalini wanaomuunga mkono pmj na wabunge wote ni waislam? na hata kama iliwahi kutokea ivo kwa mfano unahisi ni sahihi kuwageneralize waislam wote? uzi wako unaweza kuleta mjadala wa kidini zaidi ya content yako ambayo mie naamini ni nzuri tu, so jaribu kua na mitazamo yenye kujenga na busara kwa lengo la tanzania mpya ambayo wewe na mimi tunaiwaza bila mafaniko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…