Hii imekaaje jamani?

Hii imekaaje jamani?

Hardwaycomes

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2018
Posts
370
Reaction score
494
Hivi kama mpenzi wako anaongea sana kwa simu na rafiki yake wa jinsia tofauti ina maanisha nini hiyo?

Jamaa alikuwa anapitia simu ya manzi ake, amekuta kuna jamaa anaongea naye mpaka masaa 2 (kwa mara moja) mpenzi mtu anasema "we are just friends"

Hiyo si mara moja,madai ya binti ni kwamba "wamezoeana kwa story tu"

Huyu jamaa anajiuliza hii imekaaje?
 
😊😊 kwisha habari, yaani it’s over, yaani KO.

1590523060944.png
 
Kuna kesi mbili mwaka huu zimetokea nakumbuka kesi moja ni pale kigamboni kwamba mwanamume ameua mke wake sababu ya mapenzi,kesi ya pili ni pale mkuranga mwanaume mmoja ameua mke wake na kumzika pembeni kidogo katika nyumba yao,sasa kwa nini nimeandika haya kijana sikiliza ukitaka kuishi maisha mazuri na mpenzi wako ,mke wako ,mume wako tambua hivi narudia tena tambua hivi HAKUNA MWANAMKE WA PEKE YAKO na HAKUNA MWANAUME WA PEKE YAKO kinachofanyika ni kudharau tu pia haya mambo yapo kutoka dunia hii kuumbwa,baba yako inawezekana ni mchepuko ilitokea mama yako amechepuka hata wewe jiangalie hapo kwenu au kwenye ukoo wako inawezekana baba yako sio huyo ambaye unayo kwa cha msingi haya mahusiano ya utandawazi ni kuchukulia powa lakini ukisema eti mimi nimehonga gari ,nimemnunulia chupi nyeupe hiyo kwa mwanamke wa utandawazi ni kitu kidogo sana kwake ,mwambie avumilie tu .
 
Hivi kama mpenzi wako anaongea sana kwa simu na rafiki yake wa jinsia tofauti ina maanisha nini hiyo?

Jamaa alikuwa anapitia simu ya manzi ake, amekuta kuna jamaa anaongea naye mpaka masaa 2 (kwa mara moja) mpenzi mtu anasema "we are just friends"

Hiyo si mara moja,madai ya binti ni kwamba "wamezoeana kwa story tu"

Huyu jamaa anajiuliza hii imekaaje?
Wakuu tusisahau hili jambo "Hakuna urafiki wa kawaida kati ya mwanamke na mwanamme" .................... "ila kuna urafiki wa kawaida kati ya mvulana na msichana"
 
Yote yanaweza yakawa majibu

Jamaa anakuchapia

Au jamaa kawekwa friend zone "bestie" so Masaa yote wanapiga umbea



Halafu uache kusingizia mtu kwani unaona aibu gani kusema ni wewe yaliokukuta
 
the only person naweza ongea naye muda mrefu zaidi ya Mom ni My Man,
Rafiki?? Masaa mawili? Mara kwa Mara?? Mnaongea nini? Labda kama wanasoma kitabu kisha wana practice fasihi simulizi.!

Enwei, Makinika mkuu.!!
 
Back
Top Bottom