Ambiente Guru JF-Expert Member May 21, 2012 2,597 1,071 Aug 13, 2012 #21 Sasa wengine ambao tumejipanga kuja fanya kazi (field) huko Mbeya na Makambako mwezi huu wa August sijui itakuwaje. Outdoor works may be difficult to implement. Tunashukuru sana mdau.
Sasa wengine ambao tumejipanga kuja fanya kazi (field) huko Mbeya na Makambako mwezi huu wa August sijui itakuwaje. Outdoor works may be difficult to implement. Tunashukuru sana mdau.
brazilian JF-Expert Member Feb 10, 2012 604 112 Aug 13, 2012 #22 Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,190 16,306 Aug 13, 2012 #23 brazilian said: Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa. Click to expand... Wabunge wenu waongee na lowassa yeye ni mtaalamu wa ku-import mvua toka thailand.
brazilian said: Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa. Click to expand... Wabunge wenu waongee na lowassa yeye ni mtaalamu wa ku-import mvua toka thailand.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,108 94,329 Aug 13, 2012 #24 hapo kama maeneo ya Msasani karibu na chuo cha ualimu!!!
masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,905 13,203 Aug 13, 2012 #25 Mkuu, brazilian , hapo ni Ingunga Tabora, nilkuwa hapo hivi karibuni. Ukiliona wingu siku hiyo unamshukuru Mola View attachment 61737 brazilian said: Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa. Click to expand...
Mkuu, brazilian , hapo ni Ingunga Tabora, nilkuwa hapo hivi karibuni. Ukiliona wingu siku hiyo unamshukuru Mola View attachment 61737 brazilian said: Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa. Click to expand...
Lole Gwakisa JF-Expert Member Nov 5, 2008 4,728 2,259 Aug 14, 2012 Thread starter #27 Gwangambo said: Langboss, TKY kwetu. Click to expand... He heh heh Wacha uchokozi bwana