mbeyaboyfrancy
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 248
- 91
Habar ya weekend jana nimenunua simu ya tecno L8 ndani ya box nimekutana na hii cable nilikuwa naitaji kujua matumizi yake
Ni kwa ajili ya kuunganishia simu yako na storage za nje, kama flash drive
mi naijua tu jina lake kuwa ni USB FEMALE CABLE...hapo unaweka flash ili kuongeza storage ya simu labda ku`watch movie zilizopo kwenye flash kwa kutumia simu,kusikiliza miziki n.k n.kHabar ya weekend jana nimenunua simu ya tecno L8 ndani ya box nimekutana na hii cable nilikuwa naitaji kujua matumizi yakeView attachment 370154View attachment 370155
Hapana mkuu morogorohiyo si ni usb cable au? tuachane na hayo...hiyo Kapange electrical inapatikana soweto au wapi?
Eeh. Hiyo notebook ananukulia post za JF afu anakwenda kumsimulia dem wake. Basi anaonekana kichwaa kwa kutema madini 'aliyoyadukua' huku...Mkuu naona una Notebook hapo!
Yap yapMkuu naona una Notebook hapo!
HahahahahahEeh. Hiyo notebook ananukulia post za JF afu anakwenda kumsimulia dem wake. Basi anaonekana kichwaa kwa kutema madini 'aliyoyadukua' huku...
Hahahah ila mkuu JF inatusaidia sana tuonekane vichwa mitaani huko,kuna madini mengi sana humu...shukrani kwake mkuu Monstgala kwa kunifanya nionekane "kichwa".heheheEeh. Hiyo notebook ananukulia post za JF afu anakwenda kumsimulia dem wake. Basi anaonekana kichwaa kwa kutema madini 'aliyoyadukua' huku...
Tecno L8Ni smartphone gani ya bei nafuu ina support hiyo usb otg?
Hahahahaha umetishaEeh. Hiyo notebook ananukulia post za JF afu anakwenda kumsimulia dem wake. Basi anaonekana kichwaa kwa kutema madini 'aliyoyadukua' huku...