Mimi ni Yanga ila kusema ukweli Simba wakicheza uwanja mzuri wapo vizuri sana. Tena sana. Kwa aina yao ya uchezaji viwanja vya mikoani vinawapa shida sana kama ni vibovu.
Simba halisi Ni ile iliyocheza na mtibwa morogoro si kwamba biashara wabaya Bali walitoka mchezoni mapema tu hyo ndio advantage pekee Simba walio tumia
Mimi ni Yanga ila kusema ukweli Simba wakicheza uwanja mzuri wapo vizuri sana. Tena sana. Kwa aina yao ya uchezaji viwanja vya mikoani vinawapa shida sana kama ni vibovu.
Mkuu kwa viwanja vya mpira vya east,west and central of Africa vyote vinafanana hakuna mchezaji alietokea katika pitch nzuri weng kiwanja kimoja kizuri kingne tia maji tia maji tu
Mimi ni Yanga ila kusema ukweli Simba wakicheza uwanja mzuri wapo vizuri sana. Tena sana. Kwa aina yao ya uchezaji viwanja vya mikoani vinawapa shida sana kama ni vibovu.
Mkuu kwa viwanja vya mpira vya east,west and central of Africa vyote vinafanana hakuna mchezaji alietokea katika pitch nzuri weng kiwanja kimoja kizuri kingne tia maji tia maji tu