Hiace super custom for sale

Hiace super custom for sale

Mkwai

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
306
Reaction score
96
2L Engine
2400 cc
A.T Gear box
16 Seats

Gari ipo bagamoyo, kuiona/kuinunua piga 0754498569 au 0683087207

Bei: Milioni sita (6)
 

Attachments

  • PICT0669.JPG
    PICT0669.JPG
    180.7 KB · Views: 162
  • PICT0670.JPG
    PICT0670.JPG
    206.9 KB · Views: 125
  • PICT0671.JPG
    PICT0671.JPG
    162.8 KB · Views: 132
Mbovu ama?Iko katika hali gani?
Gari haina tatizo lolote; ni tairi ambazo zitahitajika kubadilishwa ndani ya muda mfupi. Mwenye gari anaiuza kwa kuwa haihitaji tena kutokana na kwamba hatakuwepo nchini kwa muda mrefu ujao. Kwa wahitaji walio jirani wanaweza kwenda kuikagua.
 
huenda kakosea kuandika Hiace 6m,au ni bodi
Bei ndio hiyo; ni ya Diesel, automatic gear box kama ilivoainishwa kwenye tangazo. Si kila mtu anataka faida katika kila kitu; muuzaji hafanyi biashara kwa kutaka apate faida, anaiuza kwa kuwa haihitaji tena na hategemei kuituma tena kutokana na shuhuri zake. So kama kuna anaetaka kumpokea, karibu ukaikague ukiridhika utafika biashara.
 
Huyo mmnunuzi atakuwa mtu wa mwisho kuitumia!

Atakavoamua; magari, nyuma na assets zingine ni vitu ambavyo lazima uwe navyo milele. hufikia mahali na kuamua kubadilisha; au kuachana navo kabisa.
 
Mbona namba umeziba au inatafutwa?

Kaka ingekuwa inatafutwa nadhani hata picha zisingewekwa.
Kwa anaihitaji anaweza kwenda kuikagua kama inavyoelekza kwenye tangazo.
 
Sio mbaya mtu anaweza kununua kama kumbukumbu kwa watoto,kwamba baba alikuwaga na gari wakati huo umelipaki uani tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom