Eliezar Mlwafu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 449
- 140
Si kwa uzuri wako,
Si kwa upole wako,
Si kwa wema wako,
Si kwa tabia yako,
Si kwa upendo wako,
Si kwa hekima zako,
Si kwa utu wako,
Si kwa utajiri wako,
Si kwa usomi wako,
Si kwa hadhi yako,
Si kwa kabila lako,
Bali ni kwa Mapenzi ya MUNGU nimeguswa nikutakie, ASUBUHI NJEMA
Si kwa upole wako,
Si kwa wema wako,
Si kwa tabia yako,
Si kwa upendo wako,
Si kwa hekima zako,
Si kwa utu wako,
Si kwa utajiri wako,
Si kwa usomi wako,
Si kwa hadhi yako,
Si kwa kabila lako,
Bali ni kwa Mapenzi ya MUNGU nimeguswa nikutakie, ASUBUHI NJEMA