Lady Maira
Member
- Jan 11, 2018
- 19
- 5
Elimu yangu ni Form 4, nimesomea computer course na nina uzoefu wa kazi za stationary 3 years, ambae anahitaji binti wa kazi nipo tayar, naishi Dar es salaam
Unaweza kuolewa... jibu kama nimevokuulizaElimu yangu ni Form 4, nimesomea computer course na nina uzoefu wa kazi za stationary 3 years, ambae anahitaji binti wa kazi nipo tayar, naishi Dar es salaam
Nahtaji mfanyakaziElimu yangu ni Form 4, nimesomea computer course na nina uzoefu wa kazi za stationary 3 years, ambae anahitaji binti wa kazi nipo tayar, naishi Dar es salaam
Kwa hiyo nikitaka kukuoa nifanyaje??Naweza kazi, cwez kuolewa
Wapi?Nahtaji mfanyakazi
Mwanza mbali nduguMwanza
Wap kaz mkubwa?Weka picha na namba ya simu. Kazi umepata Lady Maira.
Vigezo????njoo nikuajiri kama katibu wangu wa itikadi na uenezi..nafasi ipo wazi