Mkuu hapa bongo ndio tulivo kama hatukudanganywa basi huwa hatana hamu lakini tukidanganywa basi tunayapapatikia na kwa muda utasikia yamekwesha na ya kidoda ni hasara lakini ninawahurumia sana walala hoi wenzangu kwa kutomudu bei yake na akilinganisha na pato lake au kamshahara kake kamkia cha mbuzi basi hapo itambidi agandi kwenye hiyo meza ya magazete na kudurusu utasema kabandikea miguu chini super gruu