HESLB wananidai tsh ngapi?

HESLB wananidai tsh ngapi?

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Wataalam nisaidieni,nadaiwa bei gani?


Screenshot_20211009-011150.jpg
 
Mil 4 deni. Ushalipa Mil 6. Kama kutokea Mbeya kwenda Dar ndio upo Ilula hivi.
 
Wataalam nisaidieni,nadaiwa bei gani?View attachment 1968773
Unadaiwa shilingi 4,654,575.95

Ambapo, jumla ya mkopo wako ni 10,404,800.00
Pesa ambazo umelipa mpaka sasa 6,265,610.00 inabaki 4,139,190.00 jumlisha na jumla ya gharama za ziada (charges) 970,385.95 inakuwa sawa na 5,109,575.95 halafu toa kiwango kilicholipwa sasa sh. 455,000.00 unabakiwa na deni la sh 4,654,575.95

Mkuu, naomba kuwasilisha.
 
Kwa nn wachanganye watu namna hii..kwa nn wasiweke deni halisi tuu?
 
Unadaiwa shilingi 4,654,575.95

Ambapo, jumla ya mkopo wako ni 10,404,800.00
Pesa ambazo umelipa mpaka sasa 6,265,610.00 inabaki 4,139,190.00 jumlisha na jumla ya gharama za ziada (charges) 970,385.95 inakuwa sawa na 5,109,575.95 halafu toa kiwango kilicholipwa sasa sh. 455,000.00 unabakiwa na deni la sh 4,654,575.95

Mkuu, naomba kuwasilisha.
Nashukuru
 
Back
Top Bottom