Kama una Ajira walipe huna Uchune tu.Wataalam nisaidieni,nadaiwa bei gani?View attachment 1968773
Unadaiwa shilingi 4,654,575.95Wataalam nisaidieni,nadaiwa bei gani?View attachment 1968773
NashukuruUnadaiwa shilingi 4,654,575.95
Ambapo, jumla ya mkopo wako ni 10,404,800.00
Pesa ambazo umelipa mpaka sasa 6,265,610.00 inabaki 4,139,190.00 jumlisha na jumla ya gharama za ziada (charges) 970,385.95 inakuwa sawa na 5,109,575.95 halafu toa kiwango kilicholipwa sasa sh. 455,000.00 unabakiwa na deni la sh 4,654,575.95
Mkuu, naomba kuwasilisha.