Wallahi mi inaniuna sana sana,nionapo haya madudu ya heslb.....
Nimesoma seminary kuanzia nursery,primary,o'level...
Dingi,maza wote wasuper,alafu nimevuta 100%,at the same time kuna mtoto wa kabwela anachezea kitu cha "not secure"
HESLB ni useless,hawana ufanisi