habari ni kuwa ,haya
najina yaliyotoka niya wale wanafunzi wanaoenda first year mwaka
huu,then yatafatiwa na majina ya wale wanafunzi wa chuo wanaopata mkopo
lakini waliomba tena ili waboreshewe kiasi cha mkopo wanaopata ....alafu
yatafuata majina ya wale ambao walikuwa wasoma bila mkopo kabisa hivyo
waka apply upya.........
EVERYTHING GONNA BE OKEY
FROM TRUSTED SOURCE:amen: