Sasa wewe mtu unaona tcu guidebook inakuonya hii kozi sio priority, kwa ujeuri naww ukachagua hiyo hiyo unategemea tukufanyaje?? Nikukukata tuu hamna namna nyingine via #hapakazitu
Sasa wewe mtu unaona tcu guidebook inakuonya hii kozi sio priority, kwa ujeuri naww ukachagua hiyo hiyo unategemea tukufanyaje?? Nikukukata tuu hamna namna nyingine via #hapakazitu
Kwa ulimbukeni huu ndio maana tuna watanganyika na wadanganyika, Hakuna kozi isiyo na umuhimu, hivi umeshawahi kujiuliza kama wote tutasoma udaktari hali itakuwaje? Je, kozi nyingine atasoma nani? Je, vyuo vilivyo na kozi zisizo na kipaumbele vifungwe sasa au vigeuzwe vyuo vya udaktari? Think beyond.
we unadhani udaktari anasomea l
kilaza yeyote,we baki na hkl yako acha kuwaza health
Nimechaguliwa engineering lakini nimekosa mkopo
Sasa naanza kuamini HESLB lilikua ni bom llilotegwa linasbr kulipuka, boom hili lilisubiri uchaguzi uishe ndo lilipuke, Nakwer limeripuka na NOT SECURED limekumba watu wengi, ACHA WATU WAISOME NAMBA
Naona dogo unajifariji eeh!!Hahaaa na Hkl yangu lakini boom kama kawa, hahahaaa???!???!??? na soon ntakuwa nakupangia mshahara.???!???!???!
Naona dogo unajifariji eeh!!
Mtaisoma tuu ..namlivojazana
Kwa ulimbukeni huu ndio maana tuna watanganyika na wadanganyika, Hakuna kozi isiyo na umuhimu, hivi umeshawahi kujiuliza kama wote tutasoma udaktari hali itakuwaje? Je, kozi nyingine atasoma nani? Je, vyuo vilivyo na kozi zisizo na kipaumbele vifungwe sasa au vigeuzwe vyuo vya udaktari? Think beyond.
Acha tuisome namba tumeipenda wenyewe.