HESLB nini tatizo?

HESLB nini tatizo?

Hawa board toka wa-update information kwenye website yao tarehe 12 October mpaka leo kiiimya...watoe taarifa sasa za maendeleo ya kile wanachokifanya
 
Hawa board toka wa-update information kwenye website yao tarehe 12 October mpaka leo kiiimya...watoe taarifa sasa za maendeleo ya kile wanachokifanya

Ingekua vizur wenge tangaza kua hamna mkopo maraa hiii,,
 
Inaonekana hichi chama CCM na matawi yake kunaubinafsi na uharibifu wa pesa za umma, eti zile hela zote za kampeni kuke znzibar mafuta bure, flana na kofia zmeenda na maji, isitoshe na gharama zote za uchaguzi pia zmeenda na maji, Cost zote izo wameghairisha uchaguzi
 
Bodi itatoa majina baada ya vyuo,tcu na nacte kuwapelekea majina. sasa process ya udahili tu haijaisha nyie mnalalamika. mwaka huu watatoa hata november mwishoni muwe wavumilivu tu.
 
subirini purukushani za uchaguzi ziishe😡😡😡
 
HIVI JAMANI SISI WATOTO WA WAKULIMA TUTASOMA KWELI MWAKA HUU.


Hakkuna kinachoniumiza akili kama kulipa ada kabla ya kuripoti chuoni na mkopo ndo hata bado haijajulikana ni lini utatoka na tarehe rasmi ya kuanza masomo ni tarehe 2 november,dah...!
 
HIVI JAMANI SISI WATOTO WA WAKULIMA TUTASOMA KWELI MWAKA HUU.


Hakkuna kinachoniumiza akili kama kulipa ada kabla ya kuripoti chuoni na mkopo ndo hata bado haijajulikana ni lini utatoka na tarehe rasmi ya kuanza masomo ni tarehe 2 november,dah...!

hata me binafsi inanipa shidah,sijajua kama nikiwa hom mpaka majina ya mkopo yatakapo toka itanigharimu kias gan
Kwamaana nikikosa mkopo Cna uhakika wa kupiga kitabu mwaka huu
 
HIVI JAMANI SISI WATOTO WA WAKULIMA TUTASOMA KWELI MWAKA HUU.


Hakkuna kinachoniumiza akili kama kulipa ada kabla ya kuripoti chuoni na mkopo ndo hata bado haijajulikana ni lini utatoka na tarehe rasmi ya kuanza masomo ni tarehe 2 november,dah...!

CCM Muliowachagua wana majibu
 
SIASA KATIKA ELIMU NI KUWAUMIZA WALALA HOI;WATOTO WA WAKULIMA

Yaani hapa ni kufikia hatua ya kuvumilia tu kuitwa watanzania kwani kila kitu ni siasa na mbaya zaidi hawajui kabisa kuwa wapo watoto wa wakulima ambao piwanahitaji kusoma ili kutengeneza mstakbari wa maisha yao,wanajali matumbo yao tu. Nawachukia sana hawa jamaa coz hawan a kabisa huruma na wananchi wao,kumbe ni bora hata kutawaliwa kijeshi tu.

Mara nyngi kwenye kuomba kura yanakujaga yamerudisha na mikono nyuma na nyuso zao zimejaa huruma na utu wakati mioyoni mwao hayana hata chembe ya utu,I actually hate thesse green politicians.:angry:
 
Dah vijana wenzangu mm nakosa had raha maana sina msaada bodi inanikosesha raha kabisa itoemajibu basi tujue moja
 
KWA HILI ANGALAU LITATUPA MATUMAINI LABDA WANATAKA KUTUJADILI JUU YA PESA ZETU,,!!!


Wakati mwingine ukifikiria sana unashindwa hata kuelewa umuhimu wa kusoma maana kila sehemu ni majanga tu;maisha magumu,bado pia chuo wanataka uwe umelipa kila kitu ndo wakusajiri,hivi jamani nchi yetu inaelekea wapi? Waomi inafikia hatua hatuna thamani na Elimu yetu,sioni kabisa raha ya kuitwa msomi.
 
Lowasa mimi binafsi nimeumia mnooo kuliko asee dahh Lowasa nilikupa kura nikahamasisha na vijana wezangu mtaani kwangu tukakupa kura dahhhhhh lengo letu lilikua tusome bure chuo, aseeee kumbe dahhhh!!! haya bhana ila Mungu anaona? dah hivi haya majitu yaliyoiba kura si yafe yote tu, yanafaida gani sasa?
 
Bodi imeshato orodha ya mikopo mapema leo
 
Back
Top Bottom