Abdul Nassir
Member
- Sep 20, 2015
- 79
- 9
Mi nadhani tu heslb itangaze na iweke wazi tu hakuna mkopo marahii mana hadi sasa hakujatolewa majina na trh 31 vyuo vyengine ndio reporting day yao.
Akh semeni tu mumezitumia kwenye kampeni zenu ( CCM), na mlikua ata bajeti maraa hii hamkuweka katika Elimu mumeweka katika kampeni.
Yaani hasira naingia kipindi cha kampeni fulana na makofia buure, dah hata mafuta huku zenj nayo buree mmepoteza hela nyingi kiukweli.
Sijui kama nitasoma chuo mwaka huu.
Akh semeni tu mumezitumia kwenye kampeni zenu ( CCM), na mlikua ata bajeti maraa hii hamkuweka katika Elimu mumeweka katika kampeni.
Yaani hasira naingia kipindi cha kampeni fulana na makofia buure, dah hata mafuta huku zenj nayo buree mmepoteza hela nyingi kiukweli.
Sijui kama nitasoma chuo mwaka huu.