JOSPIDE MAJABA
Member
- Mar 15, 2013
- 24
- 9
Kwa vijana wanaohitaji kuapply mikopo mfumo ulishafunguliwa na Bodi ya mikopo. Kama unashindwa kuapply kwenye mtandao tunaweza kuwasiliana ili kusaidiana katika kutuma maombi online.Ukipata changamoto nishtue kwa NAMBA 0620191802 pia kwa whatsap.Kazi kwako NA Huduma ya internet muda wote na saa yoyote.