HESLB JAMANI

HESLB JAMANI

lenardo

Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
15
Reaction score
2
Hivi second batch inatoka Lin mwenye ueelewa anisaidie tafadhari jaman
 
Hivi kama mtu hajapangiw mkopo kwenye application status yake anaandikiwa nini ama inakuajee?
 
Mara nyingi ukiwa umepangiwa unakuta kuna Breakdown ya Loan but kama haujapangiwa unakuta hakuna break down ya Loan.
 
Mara nyingi ukiwa umepangiwa unakuta kuna Breakdown ya Loan but kama haujapangiwa unakuta hakuna break down ya Loan.
Sio mara nyingi huu ni mfumo mpya. Kuna wale ambao watapangiwa kwenye second batch. Na ndio mdau kauliza, status inakuaje? Utakuta "you are not allocated loan in the 1st batch."
 
Back
Top Bottom