Leo tarehe 7 loan board kimyaaaa..
Mzee kanambia nisahau chuo kama board haijatangaza majina...jaman watoto wa wakulima mbona tutakoma,tarehe 11 natakiwa nireport chuo kuna usalama hapo??
atleast waseme something...nakata tamaa maskn mie
Bodi wanamakosa gani?ikiwa nacte&tcu bado hawajakamilisha udahili.unataka watoe majina nusu nusu??cha muhimu ni kuvuta subira,naimani watatoa majina kabla chuo chochote hakijafungua
Bodi wanamakosa gani?ikiwa nacte&tcu bado hawajakamilisha udahili.unataka watoe majina nusu nusu??cha muhimu ni kuvuta subira,naimani watatoa majina kabla chuo chochote hakijafungua
Bodi wanamakosa gani?ikiwa nacte&tcu bado hawajakamilisha udahili.unataka watoe majina nusu nusu??cha muhimu ni kuvuta subira,naimani watatoa majina kabla chuo chochote hakijafungua
Hv hii transfer kiukweli/kimcngi tofauti na walioomba transfer kutumiwa massage ya kukubaliwa maombi yao, hiyo rpoti inaanza kutoka lini au kuachiliwa lini kwenye website ya tcu kama walivyoeleza wataiachilia kwenye website yao
Hv hii transfer kiukweli/kimcngi tofauti na walioomba transfer kutumiwa massage ya kukubaliwa maombi yao, hiyo rpoti inaanza kutoka lini au kuachiliwa lini kwenye website ya tcu kama walivyoeleza wataiachilia kwenye website yao
Hii ndio Tz. Mambo yanapelekwa ili mradi yaende tu. Lakn tujipe moyo mambo yatakuwa poa tu. Wahenga husema subra yavute heri. Mungu ibark tz, Mungu tubarik 1year
Leo tarehe 7 loan board kimyaaaa..
Mzee kanambia nisahau chuo kama board haijatangaza majina...jaman watoto wa wakulima mbona tutakoma,tarehe 11 natakiwa nireport chuo kuna usalama hapo??
atleast waseme something...nakata tamaa maskn mie
Only god knows me naamini mungu mwema na ana nia njema na cc watoto wa walala hoi..... kikubwa mungu atusimamie nasi 2kim2mania yeye kwa kila jambo,......
Leo tarehe 7 loan board kimyaaaa..
Mzee kanambia nisahau chuo kama board haijatangaza majina...jaman watoto wa wakulima mbona tutakoma,tarehe 11 natakiwa nireport chuo kuna usalama hapo??
atleast waseme something...nakata tamaa maskn mie