HESLB(Bodi ya mikopo Tanzania) requirement to employer to deduct 10% of employees net pay.

Tsidekenu

Senior Member
May 7, 2009
141
41
Bandugu,

Majuzi sisi kama employers tumepokea barua kutoka bodi iliyotajwa hapo juu kutuagiza kuwa from now on wards tuwe tunawakata wafanyakazi wetu 10 % ya net pay yao kama marejesho ya mikopo yao ya elimu ya juu waliyoipata wakati wanasoma.

Sielewi mwanzoni kalculations zao zilikuwaje lakini kwa barua hii mtu aliyekuwa analipa 30500 atatakiwa alipe 100500, etc. Sisi tunadhani hii si sawa. Naomba maoni yenu kama ifuatavyo.

a) Kwa wanasheria - je ni sawa kisheria kwa bodi hii kupanga na kurevise payment plan bila kuwashirikisha wadaiwa?

b) Kwa waajiri wenzetu - mmelichukuliaje hili na nini mpango wenu kwa kuzingatia kuwa kisheria tunawajibika kufanya haya makato.

Asanteni kwa michango yenu.
 
hii si sawa kabisa, ka sababu mishahara haijaongezeka na gharama za maisha zimezidi kupanda,
au ndio wanakabiliana na ile kauli ya ZITTO kuwa serikali haina pesa? Zitto alisema ukweli na tutaona mengi tu sasa hivi
 
Bandugu,

Majuzi sisi kama employers tumepokea barua kutoka bodi iliyotajwa hapo juu kutuagiza kuwa from now on wards tuwe tunawakata wafanyakazi wetu 10 % ya net pay yao kama marejesho ya mikopo yao ya elimu ya juu waliyoipata wakati wanasoma.

Sielewi mwanzoni kalculations zao zilikuwaje lakini kwa barua hii mtu aliyekuwa analipa 30500 atatakiwa alipe 100500, etc. Sisi tunadhani hii si sawa. Naomba maoni yenu kama ifuatavyo.

a) Kwa wanasheria - je ni sawa kisheria kwa bodi hii kupanga na kurevise payment plan bila kuwashirikisha wadaiwa?

b) Kwa waajiri wenzetu - mmelichukuliaje hili na nini mpango wenu kwa kuzingatia kuwa kisheria tunawajibika kufanya haya makato.



Asanteni kwa michango yenu.

mkuu hapo kwenye red hembu review kidogo au mimi ndo sijaelewa mahesabu? maana hata haiji either way! kamaa ulimaanisha 305000, 10% itakuwa 30500 na wala sio 100500.. ila kubwa zaidi mtu awe na salary ya 30,500 the akatwe 100,500 kama ulivyoandika au hiyo barua ndo imekosewa? cha muhimu tu discuss hiyo 10% ya take home uliyosema ila mfano unaweza kuwamislead watu!!! hembu kama unaweza iweke vizuri ili watu wachangie maana ni issue senstive sana
 
Hao bodi ya mikopo wezi tu, mi wananikata karibu 32000 (not 10%) kwa mwezi ( now almost for 3years), na nadaiwa karibu 2,215,000 ( sikumbuki) kwa hiyo wakisema wakate mshahara wa mtu 10% itakuwa vurugu na tutaivunja hiyo bodi sisi wenyewe badala ya serikali.
 
mkuu hapo kwenye red hembu review kidogo au mimi ndo sijaelewa mahesabu? maana hata haiji either way! kamaa ulimaanisha 305000, 10% itakuwa 30500 na wala sio 100500.. ila kubwa zaidi mtu awe na salary ya 30,500 the akatwe 100,500 kama ulivyoandika au hiyo barua ndo imekosewa? cha muhimu tu discuss hiyo 10% ya take home uliyosema ila mfano unaweza kuwamislead watu!!! hembu kama unaweza iweke vizuri ili watu wachangie maana ni issue senstive sana.

Maana yangu ni hii: mtu aliyekuwa analipa 30,500/= kwa mwezi , baada ya utaratibu huu atatakiwa kulipa 100, 500/=.
sielewi walitumia formula gani kuipata hiyo installment ya kwanza ila nilitaka watu waone vile ambavyo ongezeko ni kubwa mno i.e. kutoka 30,500/= hadi 100,500/=
 
mkuu hapo kwenye red hembu review kidogo au mimi ndo sijaelewa mahesabu? maana hata haiji either way! kamaa ulimaanisha 305000, 10% itakuwa 30500 na wala sio 100500.. ila kubwa zaidi mtu awe na salary ya 30,500 the akatwe 100,500 kama ulivyoandika au hiyo barua ndo imekosewa? cha muhimu tu discuss hiyo 10% ya take home uliyosema ila mfano unaweza kuwamislead watu!!! hembu kama unaweza iweke vizuri ili watu wachangie maana ni issue senstive sana.

Maana yangu ni hii: mtu aliyekuwa analipa 30,500/= kwa mwezi , baada ya utaratibu huu atatakiwa kulipa 100, 500/=.
sielewi walitumia formula gani kuipata hiyo installment ya kwanza ila nilitaka watu waone vile ambavyo ongezeko ni kubwa mno i.e. kutoka 30,500/= hadi 100,500/=

pamoja sana nimekupata watatuua hawa, maana maisha yenyewe yalivyomagumu! naona watapona wachache otherwise mpaka mkopo wa bodi uishe umeshakopa kwingine kiasi kwamba kiinua mgongo chako utalipia madeni tu
 
hii si sawa kabisa, ka sababu mishahara haijaongezeka na gharama za maisha zimezidi kupanda,
au ndio wanakabiliana na ile kauli ya ZITTO kuwa serikali haina pesa? Zitto alisema ukweli na tutaona mengi tu sasa hivi

Kaka umesikia mambo hayo, sio unafurahia boom tu, kuna marejesho vile vile!
 
kwanza kabla ya makato hayo,anayetakiwa kukatwa ni lazima aelezwe anadaiwa sh ngapi na body na lini makato yatakoma,hii itamsaidia mdaiwa kujuwa kiasi na mwisho wa deni

kwa tuliokopa hatuna ujanja ni lazima tulejeshe ili hata wajukuu zetu waje faidi mkopo huo
tatizo linakuja hapo ktk % ya ukataji kulikuwa na umuhimu wa kuwashilikisha wahusika la sivyo kuangalia hali halisi ya maisha kwa sasa,ili makato hayo yasimwongezee mhusika ugumu wa maisha
 
kwanza kabla ya makato hayo,anayetakiwa kukatwa ni lazima aelezwe anadaiwa sh ngapi na body na lini makato yatakoma,hii itamsaidia mdaiwa kujuwa kiasi na mwisho wa deni

kwa tuliokopa hatuna ujanja ni lazima tulejeshe ili hata wajukuu zetu waje faidi mkopo huo
tatizo linakuja hapo ktk % ya ukataji kulikuwa na umuhimu wa kuwashilikisha wahusika la sivyo kuangalia hali halisi ya maisha kwa sasa,ili makato hayo yasimwongezee mhusika ugumu wa maisha

Ni haki ya msingi mdaiwa kujua deni lake halisi.Lakini pia sheria iliyotungwa kudai pesa hizi ilikuwa na kasoro nyingi ikiwa ni pamoja na vigogo na mafisadi waliosoma zamani hawajahusishwa, ni watu ambao wana uwezo mkubwa tu wa kulipa kata kwa par.Kwa nini wasitafutiwa equivalence nao walipe?Nina machungu...,wizi mtupu.
 
Sio Haki ila wanatakiwa kulipa, Si walichukua kodi za Raia!

Ila wanaweza vipi kukujua maana najua Hii system ya kupewa loan number imeanza hivi karibuni!, Alafu wanaanza kukata kwanzia mwaka Gani??
 
Bandugu,

Majuzi sisi kama employers tumepokea barua kutoka bodi iliyotajwa hapo juu kutuagiza kuwa from now on wards tuwe tunawakata wafanyakazi wetu 10 % ya net pay yao kama marejesho ya mikopo yao ya elimu ya juu waliyoipata wakati wanasoma.

Sielewi mwanzoni kalculations zao zilikuwaje lakini kwa barua hii mtu aliyekuwa analipa 30500 atatakiwa alipe 100500, etc. Sisi tunadhani hii si sawa. Naomba maoni yenu kama ifuatavyo.

a) Kwa wanasheria - je ni sawa kisheria kwa bodi hii kupanga na kurevise payment plan bila kuwashirikisha wadaiwa?

b) Kwa waajiri wenzetu - mmelichukuliaje hili na nini mpango wenu kwa kuzingatia kuwa kisheria tunawajibika kufanya haya makato.

Asanteni kwa michango yenu.

Huna haja ya kulalamika,acha mkopaji aseme,lakini kama umekopa wewe lipa tu ili wenzako nao wasome,mshahara hapo haupungui laki 7,unataka kulipa 30,000 lol!unakua kama wapangaji wa kota za magomeni,wanalipa 450,kodi imeongezwa hadi 5000,wameenda mahakamani
 
Sio Haki ila wanatakiwa kulipa, Si walichukua kodi za Raia!

Ila wanaweza vipi kukujua maana najua Hii system ya kupewa loan number imeanza hivi karibuni!, Alafu wanaanza kukata kwanzia mwaka Gani??

Mkataba tuloingia nao una-state kuwa deni linatakiwa lilipwe ndani ya miaka 10 tangu kumaliza elimu ya juu.
 
Mkataba tuloingia nao una-state kuwa deni linatakiwa lilipwe ndani ya miaka 10 tangu kumaliza elimu ya juu.

Is true: and in that case 10% is a lot to be deducted per each monthly salary, perhaps employer can play a part to support; the meager salary we have minus PAYE, NHIC and now HESLB we're to run bankrupt totally.
 
hivi ni utaratibu gani wanautumia kuwapata wafanyakazi ambao wana deni la kurejesha mkopo huo? Kwa mfano mtu aliyeamua kujiajiri na kuna wale ambao wameajiriwa sekta isiyo rasmi. Ni kweli malengo yao ya kurejesha mikopo hiyo inafikiwa?
 
Is true: and in that case 10% is a lot to be deducted per each monthly salary, perhaps employer can play a part to support; the meager salary we have minus PAYE, NHIC and now HESLB we're to run bankrupt totally.

Afu nasikia kuna wakati hata kama demi limekwisha jamaa wanaendelea tu kukata mihela.... Hayo kaniambia mwanangu mmoja wa TANROADS!
 
Back
Top Bottom