Bandugu,
Majuzi sisi kama employers tumepokea barua kutoka bodi iliyotajwa hapo juu kutuagiza kuwa from now on wards tuwe tunawakata wafanyakazi wetu 10 % ya net pay yao kama marejesho ya mikopo yao ya elimu ya juu waliyoipata wakati wanasoma.
Sielewi mwanzoni kalculations zao zilikuwaje lakini kwa barua hii mtu aliyekuwa analipa 30500 atatakiwa alipe 100500, etc. Sisi tunadhani hii si sawa. Naomba maoni yenu kama ifuatavyo.
a) Kwa wanasheria - je ni sawa kisheria kwa bodi hii kupanga na kurevise payment plan bila kuwashirikisha wadaiwa?
b) Kwa waajiri wenzetu - mmelichukuliaje hili na nini mpango wenu kwa kuzingatia kuwa kisheria tunawajibika kufanya haya makato.
Asanteni kwa michango yenu.
Majuzi sisi kama employers tumepokea barua kutoka bodi iliyotajwa hapo juu kutuagiza kuwa from now on wards tuwe tunawakata wafanyakazi wetu 10 % ya net pay yao kama marejesho ya mikopo yao ya elimu ya juu waliyoipata wakati wanasoma.
Sielewi mwanzoni kalculations zao zilikuwaje lakini kwa barua hii mtu aliyekuwa analipa 30500 atatakiwa alipe 100500, etc. Sisi tunadhani hii si sawa. Naomba maoni yenu kama ifuatavyo.
a) Kwa wanasheria - je ni sawa kisheria kwa bodi hii kupanga na kurevise payment plan bila kuwashirikisha wadaiwa?
b) Kwa waajiri wenzetu - mmelichukuliaje hili na nini mpango wenu kwa kuzingatia kuwa kisheria tunawajibika kufanya haya makato.
Asanteni kwa michango yenu.