duuuuHakuna
Vuta Subra Ukikosa Ya Tatu Subiri Hadi Ya Nane Mwisho Wa Kutoa Awamu Zote Ni Tarehe 12 Ambapo Dirisha La Rufaa Litafunguliwa
Mwezi huu novembermwez upi hyo tar12
Majina yameshatoka mbona
Batch 3 ishatoka ila majina yametumwa moja kwa moja vyuoni,fatilieni kwenye vyuo vyenu kama uko mbali mwambie MTU akuchekie
Duuh mbona hakuna kituBatch 3 ishatoka ila majina yametumwa moja kwa moja vyuoni,fatilieni kwenye vyuo vyenu kama uko mbali mwambie MTU akuchekie