Nizzo Member Nov 20, 2011 95 37 Nov 20, 2011 #1 mimi ni mgeni lakini sina kamba mguuni,naombeni mnipokee wakuu wangu!
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Nov 20, 2011 #4 Karibu na hoja zakuelimisha nazakulikomboa taifa letu linaloangamia kwa kila aina ya maovu yanayojaribu kuwaficha wezi
Karibu na hoja zakuelimisha nazakulikomboa taifa letu linaloangamia kwa kila aina ya maovu yanayojaribu kuwaficha wezi
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,881 109,192 Nov 20, 2011 #6 Karibu sana, mimi naitwa FaizaFoxy, selebriti namba moja wa JF.
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,890 Nov 20, 2011 #8 karibu mkuu.mi ntakua doctor wako.mia
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,043 10,692 Nov 21, 2011 #11 Nizzo said: mimi ni mgeni lakini sina kamba mguuni,naombeni mnipokee wakuu wangu! Click to expand... Mgeni mzuri,huna kamba mguuni?
Nizzo said: mimi ni mgeni lakini sina kamba mguuni,naombeni mnipokee wakuu wangu! Click to expand... Mgeni mzuri,huna kamba mguuni?
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 3, 2012 #15 Nizzo said: mimi ni mgeni lakini sina kamba mguuni,naombeni mnipokee wakuu wangu! Click to expand... Huna kamba mguuni ndio maana yake nini? Karibu sana JF
Nizzo said: mimi ni mgeni lakini sina kamba mguuni,naombeni mnipokee wakuu wangu! Click to expand... Huna kamba mguuni ndio maana yake nini? Karibu sana JF