Heshima ya Kinana imeshuka sana!

Heshima ya Kinana imeshuka sana!

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
216
Najiuliza maswali sipati majibu wadau nisaidieni eti huyu Kinana ndiyo yule alikuwa mbunge wa Afrika mashariki pia akachaguliwa kuwa spika wa bunge hilo, hivi huyu ndiyo yule au huyu ni mdogo wake?

najiuliza maswali hayo sababu kinana wa wakati ule alikuwa ni Mtu makini kabisa na pia alikuwa ni mtu mwenye heshima zake. huyu ninayemsikiliza na kumuona ananitia mashaka makubwa. Kwa mfano:

  • Kinana wa sasa hivi anatetea matumizi ya Salma na kuyaita ni matamizi ya kawaida eti huyu mama anakisaidia chama. kinana unaweza ukanifafanulia zaidi kwamba huyu mama ndiyo mwenye huo uwezo peke yake na hakuna mwanachama mwingine. na huyo mwingine angekuwepo angeruhusiwa kutumia 22,000,000 ndani ya masaa matano tu. na mtu mzima kama wewe ukawa unachekelea na kuita ni matumizi ya kawaida kabisa ?

  • Kinana wa sasa hivi anaghushi risiti na kuudanganya uma wa watanzania rejea gazeti la mwanahasili wiki iliyopita tarehe 22/09/2010 risiti alizotuonesha ni za vitabu vilivyotumika tayari mwaka 2006 na kwa sasa vimefungwa.
kama sio kweli mbona sijakusikia ukikanusha wala waziri wako wa michezo sijui akidai atalifungia gazeti mbona kimya ? yaani mmegushi na bado mnataka tuwape madaraka???

  • Kinana wa sasa hivi amakuwa mtetezi wa ufisadi na kila baya linalotendwa na familia hii inayogombea kuingia ikulu kuendeleza sherehe zisizo na kikomo kinana ndiye mtetezi. haya na hizo helicopter mbili kati ya hizo tunasikia mmepewa na mafisadi kwa mujibu wa marando.
Mzee Kinana leo umekuwa mtu wa kulishwa maneno na watu wanaokulisha hayo maneno ni ni akina yusuph nk

Mzee Kinana tafuta busara za mzee warioba, Dr. Salim.

Yaani mzee Kinana umeporomoka kutoka spika wa bunge la afrika mashariki mpaka kuwa mpiga porojo wa ccm.

Nimesikia baada ya kampeni umeahidiwa kupewa ubalozi.

Nakushauri jiuzulu huo umeneja kampeni, kaa tunza heshima yako ili nawe uje uheshimiwe. Siku hizi unaniudhi mpaka nahisi wewe ni msomali
 
kwani lini amewahi kuwa na heshima huyu!!! toka zamani za kale hana heshima yoyote ndo maana sioni kilichoshuka kwake
 
Hana uchungu na nchii hii kwanza kao Somalia sasa tukianza kuzipiga apa sijui atakimbilia wapi?
Ajifunze kuwa mzalendo
 
inawezekana asiwe na Heshima tangu mwanzo kama Kigogo alivosema, ila jambo moja uelewe, kumtetea Kikwete na kumpigia Debe lazima uwe kichaa kidogo, mvuta Baghi, mnafiki ama malaya wa kisiasa.
inataka moyo kumpigia kampeni huyu jamaa, kweli hauziki.
 
Kinana hakuwahi kuwa na heshima yoyote ... sana sana watu walikuwa wanamuogopa kwa sababu ya stori zilizoko mtaani kuwa jamaa ni trained killer (nyoka aka usalama wa taifa la mafisadi wa tanzania). Baadhi ya watu walikuwa wanaogopa kuwa wakipingana naye, watajikuta wako kwenye meza moja na hayati kolimba.

Sasa hivi watu hawaogopi tena, na akifanya makosa alete ughaidi na uharamia wake kwenye uchaguzi wa mwaka huu, atagundua kuwa watanzania wa leo sio wa miaka ya 90....
 
Si suala la heshima. Wala hakuna haja ya kuwa na hasira au jazba na mtu binafsi kama Kinana. Yeyote anayechukua mzigo wa kuwatetea watawala wa wakati huu (the establishment) lazima atafanya kama hivyo. Hakuna namna nyingine. Kama ni hasira basi zielekezwe kwenye mfumo mzima tulioulea miaka nenda miaka rudi ya kushabikia watu badala ya utendaji makini Serikalini na katika vyama vya siasa.
 
Najiuliza maswali sipati majibu wadau nisaidieni eti huyu Kinana ndiyo yule alikuwa mbunge wa Afrika mashariki pia akachaguliwa kuwa spika wa bunge hilo, hivi huyu ndiyo yule au huyu ni mdogo wake?

najiuliza maswali hayo sababu kinana wa wakati ule alikuwa ni Mtu makini kabisa na pia alikuwa ni mtu mwenye heshima zake. huyu ninayemsikiliza na kumuona ananitia mashaka makubwa. Kwa mfano:


  • Kinana wa sasa hivi anatetea matumizi ya Salma na kuyaita ni matamizi ya kawaida eti huyu mama anakisaidia chama. kinana unaweza ukanifafanulia zaidi kwamba huyu mama ndiyo mwenye huo uwezo peke yake na hakuna mwanachama mwingine. na huyo mwingine angekuwepo angeruhusiwa kutumia 22,000,000 ndani ya masaa matano tu. na mtu mzima kama wewe ukawa unachekelea na kuita ni matumizi ya kawaida kabisa ?



  • Kinana wa sasa hivi anaghushi risiti na kuudanganya uma wa watanzania rejea gazeti la mwanahasili wiki iliyopita tarehe 22/09/2010 risiti alizotuonesha ni za vitabu vilivyotumika tayari mwaka 2006 na kwa sasa vimefungwa.

kama sio kweli mbona sijakusikia ukikanusha wala waziri wako wa michezo sijui akidai atalifungia gazeti mbona kimya ? yaani mmegushi na bado mnataka tuwape madaraka???


  • Kinana wa sasa hivi amakuwa mtetezi wa ufisadi na kila baya linalotendwa na familia hii inayogombea kuingia ikulu kuendeleza sherehe zisizo na kikomo kinana ndiye mtetezi. haya na hizo helicopter mbili kati ya hizo tunasikia mmepewa na mafisadi kwa mujibu wa marando.

Mzee Kinana leo umekuwa mtu wa kulishwa maneno na watu wanaokulisha hayo maneno ni ni akina yusuph nk

Mzee Kinana tafuta busara za mzee warioba, Dr. Salim.

Yaani mzee Kinana umeporomoka kutoka spika wa bunge la afrika mashariki mpaka kuwa mpiga porojo wa ccm.

Nimesikia baada ya kampeni umeahidiwa kupewa ubalozi.

Nakushauri jiuzulu huo umeneja kampeni, kaa tunza heshima yako ili nawe uje uheshimiwe. Siku hizi unaniudhi mpaka nahisi wewe ni msomali

Kutetea matumizi ya pesa kubwa kiasi hicho zinazoweza kujenga darasa 1 ni aibu saana. naipenda ccm lakini kwa matendo yake ya sasa sipo pamoja nao, Hata kama ni pesa ya chama pesa hii wanayochangia walala hoi! jk nani anakushauli na mabango makubwa ya gharama kubwa kwanini? kutumia ghalama kubwa kwaajili ya kampeni?? kwa nini msitumie nguvu hiyohiyo kwa ajili ya kupata pesa ya kujengea shule na hospital?? HV CCM UWEZO WETU UMEISHIA HAPO!?
 
Wakuu Kinana hajawahi kuwa na heshima hata siku moja sana sana heshima anayo labda kwa waarabu wa Loliondo na wezi wenzake huko CCM.
 
Haoni watu wazima wenziwe watu safi walivyotulia kama maji ya mtungi? Yeye kiherehere cha nini cha kujiingiza kwenye tope kichwakichwa?
 
Hiyo ngazi ya kushushia heshima ulimtengenezea wewe? :tonguez:
 
Si suala la heshima. Wala hakuna haja ya kuwa na hasira au jazba na mtu binafsi kama Kinana. Yeyote anayechukua mzigo wa kuwatetea watawala wa wakati huu (the establishment) lazima atafanya kama hivyo. Hakuna namna nyingine. Kama ni hasira basi zielekezwe kwenye mfumo mzima tulioulea miaka nenda miaka rudi ya kushabikia watu badala ya utendaji makini Serikalini na katika vyama vya siasa.

Drifter mbona wako wengi wamekaa pembeni? Wapi Salim Ahmed Salim,Mzee Mwinyi, Mkapa na wengineo nafikiri ni wakati muafaka watu wakapima heshima zao kabla ya kutumikia watu.
 
Drifter mbona wako wengi wamekaa pembeni? Wapi Salim Ahmed Salim,Mzee Mwinyi, Mkapa na wengineo nafikiri ni wakati muafaka watu wakapima heshima zao kabla ya kutumikia watu.

mkapa nafasi yake imechukuliwa na mtoto, Mwinyi nafasi yake imechukuliwa na Salma! Tulijua mambo yatakuwa rahisi!
 
Tangu lini alikuwa na heshima huyo ni mwizi tangu zamani!!!

unakumbuka kashfa ya Mama Mwinyi??? pia kwa taarifa yenu huyu ndiye mwenyekiti wa wasomali tanzania.. hivyo hana maslahi yoyote na tanzania...

2005 Meneja Mkuu wa kampeni alikuwa Lowasa = akapewa Uwaziri Mkuu
2010 Meneja Mkuu wa kampeni ni Kinana = Uwaziri Mkuu, Uwaziri, Ubalozi au ???? Slaa hatampa hata umeneja wa choo cha pale Ubungo.....

Nia tunayo, Uwezo tunao
Chagua Slaa Kwa maendeleo ya Taifa

Tanzania bila ya Fisadi Jk na Jangili CCM inawezekana.
 
kwahiyo kinana msomali, mwenyekiti wa wasomali ndiye anayeandaliwa kuwa waziri mkuu? dah, hii balaa.
 
kwani lini amewahi kuwa na heshima huyu!!! toka zamani za kale hana heshima yoyote ndo maana sioni kilichoshuka kwake

Umenena neno jema.... My encounter with kinana is bad, i just realised ana dharau and he cared less for ordinary people
 
Back
Top Bottom