Heri yakutokee ujanani.

Sababu kubwa wanawake ndio chanzo gubu wamezidi hatar, inshu nyingine ni hii wanawake wengi walio kwenye ndoa wamekuwa wagumu sana kutoa kitumbua matokeo yake tunaenda kujilia vyetu sie nnje
Wake zenu wajeuri hawatoi mbunye ...mnakuja nje halafu wa nje anaekupa mbunye utakapo unampangia masharti mara oooh nikiwa home usipige usinitext wala kufanya chochote kisa hutaki kumkwaza mkeo ....sasa si bora mpambane na matatizo yenu mlioyaoa huko shida gani kuwekeana masharti kama kwa mganga wa kienyeji
 

Hii ni kweli kabisa mkuu, ila wenye maono haya ni wachache
 
Unaongea kama vile ninyi tu ndio mnateseka. Unajua wanawake wanaoteseka ni wengi kuliko wanaume
Yeah....wale wanaokataa wanaume ambao wanajipanga kimaisha sababu wanataka wakute wanaume wana kila kitu na wamekamilika wao waingie tu na kuanza maisha na kuolewa.
 
Yeah....wale wanaokataa wanaume ambao wanajipanga kimaisha sababu wanataka wakute wanaume wana kila kitu na wamekamilika wao waingie tu na kuanza maisha na kuolewa.
Hapana sio kweli, hata wale wanaoolewa na makapuku, wanatafuta wote wakizipata mume anaanza kuonyesha rangi yake halisi
 
Hapana sio kweli, hata wale wanaoolewa na makapuku, wanatafuta wote wakizipata mume anaanza kuonyesha rangi yake halisi
Sio kwa miaka hii! Miaka hii watoto wa kike mnaishi kwa kuhisi zaidi badala ya uhalisia
 
Mkuu, bahati mbaya kitufe cha like kipo kimoja tu. Umepresent kwa ufasaha kabisa mawazo yangu. Agiza Pepsi kwa Mangi
 
Kumbe tunawaza pamoja! Duh raha sana Khantwe! Yaani umenikumbusha mbali sana haya mambo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…